Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,074
Nashindwa kuelewa ni muonekano unachangia ama nini.
Yaani nikienda kwenye duka la mshikaji yeyote tukiwa tunapiga story za hapa na pale akija mteja kununua kitu akihitaji punguzo anamuacha mwenye duka ananikomalia mimi nipunguzie kwa kudhani mimi ndio mwenye duka.
Hali hii inatokea hata nikipewa lifti, watu wanadhani mwenye gani ni dereva wangu, yaani nimekuwa naonekana boss kila sehemu napoenda wakati mimi muuza simu tena used tu. Kwa vile sipendi sifa hali imekuwa kero kubwa sana kwangu.
Yaani nikienda kwenye duka la mshikaji yeyote tukiwa tunapiga story za hapa na pale akija mteja kununua kitu akihitaji punguzo anamuacha mwenye duka ananikomalia mimi nipunguzie kwa kudhani mimi ndio mwenye duka.
Hali hii inatokea hata nikipewa lifti, watu wanadhani mwenye gani ni dereva wangu, yaani nimekuwa naonekana boss kila sehemu napoenda wakati mimi muuza simu tena used tu. Kwa vile sipendi sifa hali imekuwa kero kubwa sana kwangu.