Hakika !!Wengi watakupinga kwa kuwa hawajui.
Japo na mimi sisemi ni South Sudan ila sio Sudan.
Na hii clip imepandishwa humu ili kutisha watu tu !! Majizi ya mali ya Umma yanahaha kujinusuru !!Akili za mtu mweusi
Sahihi, huko nako vita vimechachamaa, raia wa mataifa mengine walioko huko wanaanza kutolewa.hata huko kwa Al Bashir hali ni mbaya sasa hv , muda utazid pata video za raia
Nimekuuliza hoja yako hasa ni nini maana content ya Uzi hauendani na video uliyoiweka.wewe umesema hali ni mbaya huko Sudan-video uliomabatanisha sio ya huko Sudan ambapo hali ni mbaya.Wanasema kuuliza si ujinga. Lakini hii sasa isikupe kibali cha kuuliza maswali ya kipumbavuh π
Ndio maana na muuliza huyo jamaa mgogoro uliopo ni kwa waarabu wa Sudan na sio South Sudan kwa Waafrika-kwa nini aweke picha ya Waafrika wa South Sudan na kusema kuwa machafuko yanayoendelea?Hii habari imenifanya nione kuwa huwenda kuna habari nyingi sana huwa tunakuwa missinformed.
Sudan naifahamu, na kweli kuna mgogoro, ila hauko katika sura hii.
Ila hii video imewekwa hapa watu wameipokea kuwa ndio kweli kinachoendelea Sudan.
Ukute unatembea na mume wa mtuKamata mashoga wote, peleka front line Sudan huko wakafwe
Wewe ukigombana na mkeo ukaacha kumpa matumizi then mshanzi mmoja akawa anamgonga na kumpa matumizi usitegemee mkeo kama atakusikiliza tena and utakuwa mgogoro mkubwa sasa hapo wewe utakuwa mjinga kwa sababu unafanya mgogoro na mkeojitathimin mkuu , kwamba ukipewa silaha kitu cha kwanza ni kuua tu hovyo hovyo bila mpango ? n unataka tumlaumu aliekupa silaha sio wew unaeua ? sorry kama nmetumia lugha ngumu
Anataka kupotosha, na usikute wala hajui alitendalo.Ndio maana na muuliza huyo jamaa mgogoro uliopo ni kwa waarabu wa Sudan na sio South Sudan kwa Waafrika-kwa nini aweke picha ya Waafrika wa South Sudan na kusema kuwa machafuko yanayoendelea?
Unahisi wale jamaa wamejituma wenyewe au wametumwa na mkubwa fulani...? Sasa huyo mkubwa ndio kawatuma wafanye hivounajishushia heshima mkuu , hata video haikufungui ubongo
Kuamka ukiwa umef..[emoji2400]wa?nyiny mnaotetea ujinga wa waafrika ndo mnatuchelewa kuamka
Analipwa kueneza Propaganda za mashoga huyo..anajua sana ni nini anafanyaAnataka kupotosha, na usikute wala hajui alitendalo.
I love Allah she's so beautiful and his prophet so attractive. Plenty of countless kesses to Allah and prophet Muhammad β€οΈ mwaaah mwaah ππ islam oyee uislamu oyee. Allah and prophet Muhammad i love you you so hoottt mwaaah mwaah ππππ mwaaah
Hii Dunia ina mambo machafu sana. Yanasikitisha.
Umesoma ukaelewa? Hii lugha ya malkia wengi inawapiga chenga. πππππUnahisi wale jamaa wamejituma wenyewe au wametumwa na mkubwa fulani...? Sasa huyo mkubwa ndio kawatuma wafanye hivo
NB unasema jamaa zako hawahusiki, angalia picha...View attachment 2595942