Hali Ikiendelea hivi, Nitamuunga Mkono Rais Magufuli

Hali Ikiendelea hivi, Nitamuunga Mkono Rais Magufuli

Unahisi mauaji na utekaji kukoma ni kutokana na Serikali ya CCM kushinda ushindi wa kishindo hivyo kudhoofisha upinzani?
 
Watu walisoma bure
Viwanda vilijengwa
Elimu ilikuwa bora
Hakika walisoma bure,
Ubora upi unamaanisha wasomi wa kesi hao hao wameingia mikataba ya ovyo ovyo.
Wameua viwanda, pale Nangurukuru walipewa mitambo na vifaa na Japan walishindwa kujengwa barabara mpaka vikaoza.

Katika fani za ufundi zilikuwa ovyo kabisa theory tu. UDSM mpaka anaondoka wahitimu hawafiki hata 4000 na chuo kikuu kimoja hicho. Mpaka anaondoka Lindi hakukuwa na sekondari ya serikali.

See:
Ruvuma alijenga 2 tu.
Mtwara mkoa labda 4.
Hivyo viwanda vilikufa bila kuwachukulia hatua wauaji!
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Ahsante sana Mkuu 🙏🏽👍🏽
Watu kama hawa wakiwepo katika jamii ujue jamii imeumia.....
Unafiki bhana shida sana.....
Unajifanya kama vile hajui watu wangapi wameuawa wamekamatwa na wanaendelea kukamatwa tangu kabla na baada ya uchaguzi....
Tafuta hotuba ya Mh Warioba na Jenerali Ulimwengu usome
Waliitoa siku ya kuadhimisha haki za Binadamu
 
Hakika walisoma bure,
Ubora upi unamaanisha wasomi wakesi haohao wameingia mikataba ya ovyoovyo.
Wameua viwanda,pale nangurukuru walipewa mitambo na vifaa na Japan walishindwa kujengwa barabara mpaka vikaoza.
Katika fani za ufundi zilikuwa ovyo kabisa theory tu.
Udsm mpaka anaondoka wahitimu hawafiki hata 4000.na chuo kikuu kimoja hicho.
Mpaka anaondoka Lindi hakukuwa na sekondari ya serikali.
See
Ruvuma alijenga 2 tu.
Mtwara mkoa labda 4.
Hivyo viwanda vilikufa bila kuwachukulia hatua wauaji!

WALIINGIA HIYO MIKATABA NYERERE AKIWA UTAWALANI?
 
Kuhusu uchumi bado sana, naona anahangaika sana, nafikiri mbinu anazotumia hazitamsaidia sana zaidi ya kuumiza Watanzania.

Nilishawahi kumuandikia waraka, nikasema, ili nchi tuondoe umasikini kwenye taifa hili lazima tujue umasikini huu tutaupeleka wapi, huwezi kuondoa umasikini bila kunyonya watu, sasa ni lazima achague kunyonya watu wa nchi yake au tuvamie nchi za wenzetu. Nilipendekeza tuvamie nchi za wenzetu tuwapelekee umasikini wetu, ujinga wetu na maradhi.

Wazungu wasingeendelea kama wasingetuletea umasikini wao, maradhi yao na ujinga wao.

Mimi ni mdogo lakini hayo mambo madogo sishindwi kung'amua
Duh nimekuelewa hapa. Na nadhani tuna misimamo inayofanana katika hili. Japokua watu wengi watakupinga kwamba we ni mlamba viatu tu ila kuna ukweli katika bandiko hili.

Vita lazima ipiganwe kwa namba yoyote. Na katika ulimwengu huu wa kibepari huwezi kuongelea kuwa tajiri bila ya mwingine kuwa masikini. Lazima mtu anyonywe/aumie ndo wewe unyanyuke. Akili kumkichwa ni kwamba nani wa kumuumiza sasa

Na pia nakula kudos nadhani we ni muandika makala pekee ambaye unaandika na kurudi humu kwenye mjadala kuzitetea. Wengi huwa wanaandika wanakimbia mjadala. Hongera sana
 
Dini zifutwe
Demokrasia iondolewe jamii bado masikini na jinga.

Hivi huoni watu wanavyotumia uhuru vibaya?

Huko ulaya ilipoanzia dini na demokrasia unaijua historia yake?

Embu kasome mada isemayo; Rise of Democracy in Europe
Utanielewa, vinginevyo hakuna cha maana nitakachoweza ongea na wewe ukiwa huna ujualo kwa habari hizo.

Demokrasia kwa nchi masikini ni mtego
Dini kwenye masikini au familia masikini ni utumwa

Kuhusu Teuzi nimeshakuambia mimi ni MTEULE, ukishaelewa hiyo istilahi huna haja ya kuongea upuuzi wako.
Anayeteuliwa ni mtu ambaye hakuwa mteule na ndio maana wengi huimba mapambio, kusifu na kuabudu na kumfanya jpm kama mungu.
MTEULE hana muda huo

Utawezaje kuuimba wimbo wa Bwana ukiwa ugenini/ Utumwani?
Mwandishi mbona hufanyi panctuation vizuri? Unatiririka vizuri sana sema ukiwa kama muandishi sijui mwandishi there are high standards I expect to see coming from you.
Samahani kama nimekukwaza
 
Dini zifutwe
Demokrasia iondolewe jamii bado masikini na jinga.

Hivi huoni watu wanavyotumia uhuru vibaya?

Huko ulaya ilipoanzia dini na demokrasia unaijua historia yake?

Embu kasome mada isemayo; Rise of Democracy in Europe
Utanielewa, vinginevyo hakuna cha maana nitakachoweza ongea na wewe ukiwa huna ujualo kwa habari hizo.

Demokrasia kwa nchi masikini ni mtego
Dini kwenye masikini au familia masikini ni utumwa

Kuhusu Teuzi nimeshakuambia mimi ni MTEULE, ukishaelewa hiyo istilahi huna haja ya kuongea upuuzi wako.
Anayeteuliwa ni mtu ambaye hakuwa mteule na ndio maana wengi huimba mapambio, kusifu na kuabudu na kumfanya jpm kama mungu.
MTEULE hana muda huo

Utawezaje kuuimba wimbo wa Bwana ukiwa ugenini/ Utumwani?
Halafu akajipa jina jipya kwa kulikataa jina na dini ya kigeni, akajiita Kuku ya Zabanga Mobutu Sesseseko, huyu ndiye Rais mwenye kulinda uzalendo Afrika ambaye alijenga kasri na uwanja wa ndege kijijini kwake...
 
Hapo kwenye Club nakataa, labda useme sio mpenzi wa michezo yeyote.

Kitendo cha kua mpenzi wa mchezo wowote, lazima kuna kundi (club) ambayo utaiunga mkono.

Anaposema club anamaanisha Simba au Yanga. Kwa sasa Watanzania wamewekewa mazingira ya kujadili Simba na Yanga tu. Upande mwingine ni aidha usifie au ukae kimya. Kitendo chochote cha kuwa mkosaji jiandae kutekwa, kifo ama kubambikiwa kesi.
 
kwa mara ya kwanza UMENIANGUSHA MKUU...NIMEJISIKIA AIBU SANA MR ROBERT.

UNAMSIFIA MTU ASIYEWEZA HATA KUTUNGA SENTENSI MOJA YA KIINGEREZA PHD.?
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
"MIMI UKINISHAURI NDIO UMEHARIBU KABISAA MAANA SITOFANYA KILE UNACHONISHAURI".

"MIMI SIPANGIWI"

JOHN POMBE MAGUFULI
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Pumba tupu plus utopolo from hidden Lumumba , Mapungufu ya Zanzimana ni mengi sana yaani , hata umpe miaka mia kwa IQ aliyonayo hawezi kufikisha nchi popote , miaka mitano tu imemtoa jasho , kuajiri tu kashindwa huku watumishi wakistaafu na kufa kila mwaka , mapengo yao yanazibwa na nani ? Hata kulipa tu wastaafu kashindwa , Hivi we Pimbi wa Lumumba unaishi Tanzania gani ya uchumi wa kati wa kusadikika ?
 
Back
Top Bottom