Hali iliyoko Gaza si ya kushadadia

Hali iliyoko Gaza si ya kushadadia

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Maisha ya Gaza ni magumu mno.

Suluhisho la Gaza sijui liweje. Wapalestina wanataka watambuliwe kama taifa huru, lakini hapo hapo wanajiapiza kulifutilia mbali Taifa la Israel.

Kutoka vita vya kiasili kati ya Wapalestina na waisraeli mpaka kuwa vita ya kidini kati ya waarabu na waislamu dhidi ya waisraeli wanaosaidiwa na nchi za magharibi.

Hali ya Sasa ya Gaza inahitaji akili kubwa sana kuutatua mgogoro unaoendelea.

Maana hofu yangu ni kama vile Israeli inataka kuongeza eneo lake toka kwenye eneo la Gaza.

Hali ya Gaza ni mbaya sana wala si ya kushadadia.
 
Waache ubishi!

Wavaa kobaz ni wabishi na wana vurugu sana.

Israel lazima ajilinde mwa nguvu sana sababu akilemaa wanamtoa pale alipo ndio maana akipiga anapiga kweli
 
Shida ni hawo ndugu zetu Palestine wamejifungamanisha na uislam na waarabu na hicho ndo kitu kitachowasulubu maisha yao yote

Mwezetu Israel siyo mkristo lakin kachagua fungu jema yaan ulaya

Waarabu wao wenyewe wameshindwa kusaidiana waje wakusaidie wewe Palestine
 
Waache ubishi!

Wavaa kobaz ni wabishi na wana vurugu sana.

Israel lazima ajilinde mwa nguvu sana sababu akilemaa wanamtoa pale alipo ndio maana akipiga anapiga kweli
Wote hawana tofauti kula mwenye chance anamuondoa mwenzake
 
Waache ubishi!

Wavaa kobaz ni wabishi na wana vurugu sana.

Israel lazima ajilinde mwa nguvu sana sababu akilemaa wanamtoa pale alipo ndio maana akipiga anapiga kweli
🤣🤣🤣kobaz
 
Maisha ya Gaza ni magumu mno.

Suluhisho la Gaza sijui liweje. Wapalestina wanataka watambuliwe kama taifa huru, lakini hapo hapo wanajiapiza kulifutilia mbali Taifa la Israel.

Kutoka vita vya kiasili kati ya Wapalestina na waisraeli mpaka kuwa vita ya kidini kati ya waarabu na waislamu dhidi ya waisraeli wanaosaidiwa na nchi za magharibi.

Hali ya Sasa ya Gaza inahitaji akili kubwa sana kuutatua mgogoro unaoendelea.

Maana hofu yangu ni kama vile Israeli inataka kuongeza eneo lake toka kwenye eneo la Gaza.

Hali ya Gaza ni mbaya sana wala si ya kushadadia.
Hamas wanachohitaji ni kulifutilia mbali Taifa la Israel,kwao two states solution haipo akilini..Their focus is to establish a Caliphate, na mbaya zaidi Iran ndiyo Architect wa huo mpango, ndiyo maana Al Saudi being Wahhabi majority knows that move,and will never support that.
Iran regime ni tatizo kubwa sana kwenye amani ya Mashariki ya kati.
 
Hamas wanachohitaji ni kulifutilia mbali Taifa la Israel,kwao two states solution haipo akilini..Their focus is to establish a Caliphate, na mbaya zaidi Iran ndiyo Architect wa huo mpango, ndiyo maana Al Saudi being Wahhabi majority knows that move,and will never support that.
Iran regime ni tatizo kubwa sana kwenye amani ya Mashariki ya kati.
Suluhu ni nini?
 
Palestine ikiachana na wazo la kuifutilia mbali Israel amani itapatikana.
Wakiendelea kukomaa na wazo la kuifuta israel inapoelekea wao Palestine ndio watafutika.
 
Kama wapelestina ndio wakina Goliath basi hamna namna huo mgogoro utakuja kuisha kabisa.
 
Palestine ikiachana na wazo la kuifutilia mbali Israel amani itapatikana.
Wakiendelea kukomaa na wazo la kuifuta israel inapoelekea wao Palestine ndio watafutika.
Mara nyingi tukiichukulia Palestine kana kwamba wao ndiyo wanaotaka kuifuta Israel tunakuwa tunakosea kwani wanaotaka kuifuta Israel ni vikundi vya kijahidina ambavyo ni HAMAS na ISLAMIC JIHAD. Mpalestina wa kawaida anaingizwa kwenye vita atumike kama ngao tu dhidi ya makombora ya Israel.
Kwa misaada ambayo PA imekuwa ikiipokea kutoka UN, endapo ingetumika ipasavyo, Palestine ingekuwa kama Singapore..ni bahati mbaya misaada hiyo inafikishwa kwenye mikono isiyo salama ( Mujahideens)
Wanapewa maelfu ya tani za sukari,mabomba ya maji lakini sukari zinachanganywa na malighafi nyingine inakuwa kilipuzi..mabomba yanakatwa kiustadi na yanaboreshwa kuwa launching sites za rockets..
Wanapewa hela wanatengeneza tunnels...
Hiyo yote ni maandalizi ya kulifutilia mbali Taifa la Israel.
Extremism haina nafasi in a modern society ambapo religious tolerance ni muhimu ukizingatia watu wapo wa dini mbalimbali katika jamii zetu.kama mtu unahisi he is radical,it's better for him to relocate to countries which embrace radicalism.
 
Ule umekuwa uwanja wa majaribio ya silaha za kivita.
Ila msimamao wangu waacheni wapigane, kupewa uhuru mezani kuna masimamngo sana. Kifo kipo tu tunatofautiana muda tu.
 
Maisha ya Gaza ni magumu mno.

Suluhisho la Gaza sijui liweje. Wapalestina wanataka watambuliwe kama taifa huru, lakini hapo hapo wanajiapiza kulifutilia mbali Taifa la Israel.

Kutoka vita vya kiasili kati ya Wapalestina na waisraeli mpaka kuwa vita ya kidini kati ya waarabu na waislamu dhidi ya waisraeli wanaosaidiwa na nchi za magharibi.

Hali ya Sasa ya Gaza inahitaji akili kubwa sana kuutatua mgogoro unaoendelea.

Maana hofu yangu ni kama vile Israeli inataka kuongeza eneo lake toka kwenye eneo la Gaza.

Hali ya Gaza ni mbaya sana wala si ya kushadadia.
Bwana ee... Kikubwa Allah ajilinde mwenyew asitegemee Iran na vikundi vingine vimlinde....huyu Allah anafeli pakubwa sana
 
Bwana ee... Kikubwa Allah ajilinde mwenyew asitegemee Iran na vikundi vingine vimlinde....huyu Allah anafeli pakubwa sana
Kwani palestina hiyo si iwe sehemu ya Israel? Il vita viishe na maisha yaendelee.. mbona westbank wanaishi vizuri tu
 
Maisha ya Gaza ni magumu mno.

Suluhisho la Gaza sijui liweje. Wapalestina wanataka watambuliwe kama taifa huru, lakini hapo hapo wanajiapiza kulifutilia mbali Taifa la Israel.

Kutoka vita vya kiasili kati ya Wapalestina na waisraeli mpaka kuwa vita ya kidini kati ya waarabu na waislamu dhidi ya waisraeli wanaosaidiwa na nchi za magharibi.

Hali ya Sasa ya Gaza inahitaji akili kubwa sana kuutatua mgogoro unaoendelea.

Maana hofu yangu ni kama vile Israeli inataka kuongeza eneo lake toka kwenye eneo la Gaza.

Hali ya Gaza ni mbaya sana wala si ya kushadadia.
Marekani ingeweza kumaliza hii vita ingetaka toka kitambo sema Babu Biden ni 'too Pro-Israel' na kwa sasa anaelekea mwishoni wa utawala wake hivyo Israel hawawezi kumsikiliza tena.

Labda Rais mpya wa Marekani ajaye ndiye ataweza kuzishinikiza Israel isitishe Vita.
 
Back
Top Bottom