Hali iliyomtokea Jux kumegewa dem na Trey Songz ni kiki au?

Hali iliyomtokea Jux kumegewa dem na Trey Songz ni kiki au?

siku kadhaa zimepita tangu zisambae picha ya vanesa na treysong kuonekana wapo chumbani vanesa kamlalia treysong kimahaba kitandani nachojiuliza ni kiki au ni kweli treysong kapita nae vanesa imechukua siku sita wapenzi hawa kupost picha ambayo wote wamepost picha ikionesha mshale juu
kama nikweli basi vanesa kamzalilisha jux sana ila kama ni kiki tena sio kwa style hii blazamen jux
Vannesa alikua zamani enzi za 'me and u' wa ommy daah chocolate color flan hivi ya ukweli ila siku hizi amekua kama ndizi choma rangi nne haeleweki yuko na rangi gani....!
 
Na iwe fundisho,kwa mujibu wa SHILAWADU nasikia wame _"unfollowiana" Jux kasahau Huu mchezo hauhitaji hasira.

Ila kugongewa ni maumivu makali mkuu....yaani apo unadharaulika pande zote,mgongaji na mgongwaji wanakuona wa kawaida saana.
 
Alafu hiyo picha ni edited, imewekewa kiza kiza ili kuwaaminisha watu ilikuwa usiku wa kunjunjana, but picha yenyewe original mbona ipo kawaida tu?
 
Back
Top Bottom