Hali iliyomtokea Jux kumegewa dem na Trey Songz ni kiki au?

Hali iliyomtokea Jux kumegewa dem na Trey Songz ni kiki au?

Mbona Van kaliwa sana tu mpaka na wale masela wa kitaa wameichambua sana ile kitu.
 
mwanaume akiwa na lesbo manake anakuwa na two girlfriendz so that means 3some za kutosha...
Hakuna mwanaume lesbian. Mwanaume ni gay/homosexual/faggot. Lesbian inatumika kwa mwanamke tu.
 
kwani mie nimesemaje nimesema mwanaume akiwa na lesbo sio akiwa lesbo
Naona kasoma juu jui tu. Hajakuelewa.
Kasema mwanaume akiwa na demu wake ambaye ni lesbo au bi.
Au akatafute song inaitwa MY GIRL GOTTA GIRLFRIEND
 
Kama wanapigaga 3some then basi Jux wala hatamind cz 3SOME ni ndoto ya kila msela
 
siku kadhaa zimepita tangu zisambae picha ya vanesa na treysong kuonekana wapo chumbani vanesa kamlalia treysong kimahaba kitandani nachojiuliza ni kiki au ni kweli treysong kapita nae vanesa imechukua siku sita wapenzi hawa kupost picha ambayo wote wamepost picha ikionesha mshale juu
kama nikweli basi vanesa kamzalilisha jux sana ila kama ni kiki tena sio kwa style hii blazamen jux
Unajua juma kazi yake ni mishemishe, Kwaiyo, kaona fresh tu
 
Ako kamchezo hakaitaji hasara n ku-share ndio hbr ya mujini,kamegewa n msela kachukuwa emirate karudi GZ kupiga kitabu chake cha kisanii cha IT
 
Naona kasoma juu jui tu. Hajakuelewa.
Kasema mwanaume akiwa na demu wake ambaye ni lesbo au bi.
Au akatafute song inaitwa MY GIRL GOTTA GIRLFRIEND
Matusi hayo mpwa
 
Naona kasoma juu jui tu. Hajakuelewa.
Kasema mwanaume akiwa na demu wake ambaye ni lesbo au bi.
Au akatafute song inaitwa MY GIRL GOTTA GIRLFRIEND
Matusi hayo mpwa
 
Back
Top Bottom