Hali imekuwa mbaya, mtaani kazi kubwa halafu malipo hayatoshi kununua vyakula. Vyakula bei juu

Hali imekuwa mbaya, mtaani kazi kubwa halafu malipo hayatoshi kununua vyakula. Vyakula bei juu

Heavy User

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2020
Posts
1,047
Reaction score
1,903
Majonzi.

Huwa sina hobby kabisa na siasa, lakini kutokana na hali ngumu ya maisha ya sasa, acha tu niwakilishe shida tunazopata wananchi wa kawaida, shida hii inatupata wananchi wengi kwasababu 75% ya wananchi ni wa kipato cha kawaida.

-Wananchi wengi siku hizi hawawezi kujiwekea akiba kwasababu, kipato wanachopata chote kinaisha kwenye kununua vyakula, vyakula bei juu.

-Pesa imeshuka thamani kwasababu ya vyakula kupanda bei. Kipato wananchi walichokuwa wanapata miezi michache iliyopita siku hizi hakitoshi.

-Kwasababu ya vyakula kupanda bei, kazi zimekuwa kubwa halafu malipo kidogo.

SERIKALI MPO KWA AJILI YETU WANANCHI, FANYENI MPANGO BEI YA VYAKULA ISHUKE, AU MPANDISHE VIPATO WANANCHI WAWEZE KULA MILO 3 KWA SIKU
 
Majonzi.

Huwa sina hobby kabisa na siasa, lakini kutokana na hali ngumu ya maisha ya sasa, acha tu niwakilishe shida tunazopata wananchi wa kawaida, shida hii inatupata wananchi wengi kwasababu 75% ya wananchi ni wa kipato cha kawaida.

-Wananchi wengi siku hizi hawawezi kujiwekea akiba kwasababu, kipato wanachopata chote kinaisha kwenye kununua vyakula, vyakula bei juu.

-Pesa imeshuka thamani kwasababu ya vyakula kupanda bei. Kipato wananchi walichokuwa wanapata miezi michache iliyopita siku hizi hakitoshi.

-Kwasababu ya vyakula kupanda bei, kazi zimekuwa kubwa halafu malipo kidogo.

SERIKALI MPO KWA AJILI YETU WANANCHI, FANYENI MPANGO BEI YA VYAKULA ISHUKE, AU MPANDISHE VIPATO WANANCHI WAWEZE KULA MILO 3 KWA SIKU
Kazi zimekuwa kubwa ukimaanisha long hours with low paid au?
 
Kwa wakati huu serikali haina itachofanya bei ya chakula kishuke.

Serikali ilipaswa zuia uuzaji wa chakula.
Ukishadhibiti chakula, unadhibiti mfumko wa bei

Leo hii Mahindi yamefikia 1100 kwa Kg
Mchele 2200-3000
Maharagwe 2800-3200
Soda 700

Kitu ambacho hakijapanda bei ni Maji ya Kunywa pekee

Na Umeme pia haujapanda bei
 
Majonzi.

Huwa sina hobby kabisa na siasa, lakini kutokana na hali ngumu ya maisha ya sasa, acha tu niwakilishe shida tunazopata wananchi wa kawaida, shida hii inatupata wananchi wengi kwasababu 75% ya wananchi ni wa kipato cha kawaida.

-Wananchi wengi siku hizi hawawezi kujiwekea akiba kwasababu, kipato wanachopata chote kinaisha kwenye kununua vyakula, vyakula bei juu.

-Pesa imeshuka thamani kwasababu ya vyakula kupanda bei. Kipato wananchi walichokuwa wanapata miezi michache iliyopita siku hizi hakitoshi.

-Kwasababu ya vyakula kupanda bei, kazi zimekuwa kubwa halafu malipo kidogo.

SERIKALI MPO KWA AJILI YETU WANANCHI, FANYENI MPANGO BEI YA VYAKULA ISHUKE, AU MPANDISHE VIPATO WANANCHI WAWEZE KULA MILO 3 KWA SIKU
Hakuna atakaye kusikia. Nchi ilifanya makosa ya kimfumo mwaka 2015, na hayo makosa mpaka leo bado tunaendelea kuyalipia kwa gharama kubwa.
 
Kwa wakati huu serikali haina itachofanya bei ya chakula kishuke.

Serikali ilipaswa zuia uuzaji wa chakula.
Ukishadhibiti chakula, unadhibiti mfumko wa bei

Leo hii Mahindi yamefikia 1100 kwa Kg
Mchele 2200-3000
Maharagwe 2800-3200
Soda 700

Kitu ambacho hakijapanda bei ni Maji ya Kunywa pekee

Na Umeme pia haujapanda bei
Izuie uuzaji wa chakula unafikiri hayo ni mazao ya vyama vya ushirika?
 
Kwa wakati huu serikali haina itachofanya bei ya chakula kishuke.

Serikali ilipaswa zuia uuzaji wa chakula.
Ukishadhibiti chakula, unadhibiti mfumko wa bei

Leo hii Mahindi yamefikia 1100 kwa Kg
Mchele 2200-3000
Maharagwe 2800-3200
Soda 700

Kitu ambacho hakijapanda bei ni Maji ya Kunywa pekee

Na Umeme pia haujapanda bei
Soda siyo lazima kunywa mkuu.
 
Majonzi.

Huwa sina hobby kabisa na siasa, lakini kutokana na hali ngumu ya maisha ya sasa, acha tu niwakilishe shida tunazopata wananchi wa kawaida, shida hii inatupata wananchi wengi kwasababu 75% ya wananchi ni wa kipato cha kawaida.

-Wananchi wengi siku hizi hawawezi kujiwekea akiba kwasababu, kipato wanachopata chote kinaisha kwenye kununua vyakula, vyakula bei juu.

-Pesa imeshuka thamani kwasababu ya vyakula kupanda bei. Kipato wananchi walichokuwa wanapata miezi michache iliyopita siku hizi hakitoshi.

-Kwasababu ya vyakula kupanda bei, kazi zimekuwa kubwa halafu malipo kidogo.

SERIKALI MPO KWA AJILI YETU WANANCHI, FANYENI MPANGO BEI YA VYAKULA ISHUKE, AU MPANDISHE VIPATO WANANCHI WAWEZE KULA MILO 3 KWA SIKU
Ninyi ndio waimbaji mapambio wazuri wa chama chakavu na mamluki aka ccm
 
Acha Mbinyo uingie vizuri ili akili ziwakae ,mwigulu shikilia hapo hapo
 
Kwa wakati huu serikali haina itachofanya bei ya chakula kishuke.

Serikali ilipaswa zuia uuzaji wa chakula.
Ukishadhibiti chakula, unadhibiti mfumko wa bei

Leo hii Mahindi yamefikia 1100 kwa Kg
Mchele 2200-3000
Maharagwe 2800-3200
Soda 700

Kitu ambacho hakijapanda bei ni Maji ya Kunywa pekee

Na Umeme pia haujapanda bei
Mpaka mbususu zimepanda bei mkuu ,hahaaa vita ya Yukureini
 
Utekelezaji wa Bajeti ya mwaka 2022/23 lazima uendele, ukiona ugumu umezidi hamia Burundi🐒

images - 2022-08-29T193449.612.jpeg
 
Tunaishukuru serikali ya awamu ya sita ya Mama. Kwa kuongeza bei ya mchele Toka 1800 mpaka 3000.
#Praise team,
 
Kwa wakati huu serikali haina itachofanya bei ya chakula kishuke.

Serikali ilipaswa zuia uuzaji wa chakula.
Ukishadhibiti chakula, unadhibiti mfumko wa bei

Leo hii Mahindi yamefikia 1100 kwa Kg
Mchele 2200-3000
Maharagwe 2800-3200
Soda 700

Kitu ambacho hakijapanda bei ni Maji ya Kunywa pekee

Na Umeme pia haujapanda bei
Mbona huko kwenu mahatage bei rahisi hivyo mkuu
 
Kwa wakati huu serikali haina itachofanya bei ya chakula kishuke.

Serikali ilipaswa zuia uuzaji wa chakula.
Ukishadhibiti chakula, unadhibiti mfumko wa bei

Leo hii Mahindi yamefikia 1100 kwa Kg
Mchele 2200-3000
Maharagwe 2800-3200
Soda 700

Kitu ambacho hakijapanda bei ni Maji ya Kunywa pekee

Na Umeme pia haujapanda bei
Mkuu ingia shambani mvua zinanyesha ili udhibiti mfumuko wa Bei nyumbani kwako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom