Hali inatisha: Waliouliwa Uganda kwenye maandamano ni zaidi ya 60. M7 aondoke tu

Hali inatisha: Waliouliwa Uganda kwenye maandamano ni zaidi ya 60. M7 aondoke tu

Askari wa kiafrica waendelee tu kuomba waafrika wasizijue mbinu za kupambana na Askari wenyewe silaa siku wakijua tu Afrika udikteta utatoweka.
 
Kwa hali hii M7 ni kutupwa gereni moja kwa moja sielewi kwa nini baadhi ya viongozi wa bara la afrika wanakuwa namana hii pia naona ipo haja ya UN kuongezewa nguvu zaidi na kupewa jeshi kali sana litakalokuwa na kazi tu ya kuwanyofoa viongozi wa aina hii afrika maana naona ipo haja ya kustaarabishwa kinguvu na hakuna namna nyingine yoyote

True ndo njia pekee iliyobaki UN wapewe meno zaidi ikiwemo hata kuwauwa madikteta maana bila hivyo wao ndo uingia gharama kubwa Sana za kuhudumia wakimbizi.Ni heri mtu mmoja aliyekosa malezi Bora utotoni apotee ili kuiponya duniani, watawala wa kiafrica mchango wao Mkubwa duniani ni kuzalisha wakimbizi duniani na sio kuchochea ukuaji wa uchumi wa dunia.Maana wao kuuwa waafrika sababu ya tumbo ni sawa na kunywa soda tu. Makundi yote ya kigaidi, wabane wa kivita chanzo kikuu ni uporwaji wa haki panapo haki hakuna Vita, hakuna ugaidi. Shida ya afrika watawala wanaokotwa awaandaliwi Kama wenzetu thus yeyeto tu anaweza kuwa mtawala hata wahuni waliokosa malezi Bora utotoni ( dikteta) ni rahisi kuwa kiongozi.
 
Ukileta upumbavu na ujinga utauawa tu. Tatizo vijana wa siku hizi mmejaa ujinga ujinga sana yaani. Mtaendelea kutangulizwa kufa na kutiwa vilema hadi mpukutike, wapumbavu nyinyi.
Utauwa at the end utang'oka tu killing haijawahi silence people.
 
Si kweli mkuu. Pamekuwa na matamko madhubiti kabisa dhidi ya Mseveni kama ilivyo kwa jiwe pia.

Haumjui Museveni wewe, hayo matamko yenu ya kuchagua na kuchuja ? Weka tamko rasmi hapa la Serikali ya Muzungu dhidi ya Museveni, Mzungu hawezi kupingana na Museveni na Kagame hao wana yao mengi sana, ...
 
Kuna viongozi majuha sana Africa. Imagine watu zaidi ya 60 wamekufa kizembe kabisa bila sababu za msingi.

Hakukuwa na haja ya kumshikilia Bobi wine mpaka watu wafe ndio wamuachie. Siku za Mu7 zinahesabika sasa
Mumeanza tena kuhesabu siku za mseven baada ya kushindwa kuhesabu za JPM, pole sana mtasubiri saana
 
Haumjui Museveni wewe, hayo matamko yenu ya kuchagua na kuchuja ? Weka tamko rasmi hapa la Serikali ya Muzungu dhidi ya Museveni, Mzungu hawezi kupingana na Museveni na Kagame hao wana yao mengi sana, ...
Mkuu uzi wako wa Trump unateketea kule [emoji1787]
 
Back
Top Bottom