Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
- Thread starter
- #21
muda hauongopi mkuu tungoje tuoneMimi mbona Nina,umeme na sktumii Dawa,ARV
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
muda hauongopi mkuu tungoje tuoneMimi mbona Nina,umeme na sktumii Dawa,ARV
Mbususu oyeeee!Mie mwenyewe
Hao 1.3 wanajulikana wanatumia ARVsMkuu ....
Takwimu wanaotumia ARV nchi nzima ni 1.3M kati ya 60M.
Acha kukuza mambo
walikuwa wanasema ivoivo adi mteule D.T alipovuta shuka kwa juu ndo wakashtuka khee😳kumbe hii shuka si mali yetu tumeazimamtwnzania bwana, ukimbana sana kwenye mada anakimbia kifo, utafikiri alishaenda peponi na kurudi
Hao wanaathirika vipi na zuio la ARV wakati hawatumii? Watakaokufa si ni ambao wanazitegemea, hao 1.3?Hao 1.3 wanajulikana wanatumia ARVs
Umewaza kuhusu ambao hawajapima na hawaoni dalili wapo (window stage)
OyeeeeeMbususu oyeeee!
Kwa nininimekataa mkuu
Wacha nasihara ww huyu mgombea uraisiHatari sana kaka....
Jobo asingekuwepo hadi leo
wew huna busara izo😆Kwa nini
Wee ungejua hapa kijiweni kwangu kwenye bodaboda mie ndio mshauri mkuu...yaani am pretty wisdomaswew huna busara izo😆
Nimekusoma mara 4 ndiyo nimeelewa aiseee.Hatari sana kaka....
Jobo asingekuwepo hadi leo
Shega tu!- JF, Insta, facebook na magazeti vyote, vingejaa picha na jumbe za Tanzia.
- Akaunti nyingi za kijamii hasa za watu maarufu kama wanamuziki wasanii wanasiasa mainfluencers zingesimama kufanya kazi.
- Baa kubwakubwa na sehemu nyingi za starehe zingefungwa maana wamiliki na baadhi ya wahudumu nguli hawajiwezi tena wamerudishwa makwao kwa uangalizi wa afya zao au wameshatangulia mbele za haki.
- Mitaa na vichochoro vingi vingejaa matenti ya wadau wakishiriki shughuli za wapendwa wao.
- Nyumba nyingi zingekuwa na walau mgonjwa mmoja mwenye ugonjwa usioeleweka.
- Nyumba nyingi zingebaki chini ya uangalizi wa watoto maana wazazi hawajiwezi au wameshatangulia mbele za haki.
- Ambulance na mahospitali yangekuwa bize kushughulikia wahanga, homa zingine zingasahaulika kwanza.
- Baadhi ya Ofisi kubwakubwa za serikali bunge mahakama na za binafsi zingefungwa kwa kupoteza watendaji wake muhimu au wahusika kuhudhuria mazishi ya mfanyakazi mwenzao.
- Humu Jf nyuzi za mambo ya mahaba zingepungua kama sio kwisha kabisa.
- Humu Jf nyuzi za kutukuza na kusifu utukufu mkuu wa muumba zinģetamalaki na kupata mashiko ya hali ya juu.
- Kungekuwa na misururu mikubwa ya costa za abiria hasa kutoka Dar kwenda mikoani zikisafirisha wapendwa wao wakiwa wagonjwa au wafu kwenda maeneo mbalimbali ya nchi.
Wakuu HIV ipo, tujilinde!
Umeona nini weweeUmeona eeh
Na injinia angekuwa mbunge kongHatari sana kaka....
Jobo asingekuwepo hadi leo
Haahaa hamna mkuu tunahadharishana tu hapa vinginevo hakuna wa kudumu apa dunianiKwani tayari maruweriwe yameanza kusambaa kwa sababu ya hatua ya yule mzee wa miaka 80?Au nami nimepitiwa na ndoto mchana huu?
Hivi injijia kumbe ni mgogo?Na injinia angekuwa mbunge kong
AhahahaaaNimekusoma mara 4 ndiyo nimeelewa aiseee.