Hali ingekuwaje endapo matumizi ya ARV yangesimamishwa?

Haya mambo sikia tu kwa wenzako omba yasikupate
 

Attachments

  • Screenshot_20250130_093810_com_whatsapp_w4b_StatusPlaybackActivity.jpg
    282.4 KB · Views: 2
mtwnzania bwana, ukimbana sana kwenye mada anakimbia kifo, utafikiri alishaenda peponi na kurudi
walikuwa wanasema ivoivo adi mteule D.T alipovuta shuka kwa juu ndo wakashtuka khee😳kumbe hii shuka si mali yetu tumeazima
 
Hao 1.3 wanajulikana wanatumia ARVs
Umewaza kuhusu ambao hawajapima na hawaoni dalili wapo (window stage)
Hao wanaathirika vipi na zuio la ARV wakati hawatumii? Watakaokufa si ni ambao wanazitegemea, hao 1.3?

Hapo tumeassume ukiacha tu dawa unakufa. Ila kama ukiacha dawa unaweza ukadunda, katika hao 1.3 wengi tu watadunda.
 
Shega tu!

Nyau de adriz
 
Kwani tayari maruweriwe yameanza kusambaa kwa sababu ya hatua ya yule mzee wa miaka 80?Au nami nimepitiwa na ndoto mchana huu?
Haahaa hamna mkuu tunahadharishana tu hapa vinginevo hakuna wa kudumu apa duniani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…