Yupi huyo tena?Wacha nasihara ww huyu mgombea uraisi
Kitakwimu hiyo ni idadi kubwa sana, 1.3m of 60m ni kama 2%(hao wanajulikana)Mkuu ....
Takwimu wanaotumia ARV nchi nzima ni 1.3M kati ya 60M.
Acha kukuza mambo
Msomali ila nashangaa anataka kugomba huko. Labda alizaliwa na kukulia huko.Hivi injijia kumbe ni mgogo?
Yuko sahihi tu mkuu wengi ya wanao tumia ndio hao aliowataja hapo..Mkuu ....
Takwimu wanaotumia ARV nchi nzima ni 1.3M kati ya 60M.
Acha kukuza mambo
"nina uwezo wa kukufukuza bungeni utanifanya nini"Jobo kimbungaaa au jobo mgeni ndugu? Kwani ninsvyojua leo Jobo nimjuae anahudumia shamba lake la mikorosho na mizabibu.Ila nisichojua tu ni kama lile rungu lake bado analitumia kukong'ota vichwa au vibuyu vya wanaokinzana naye kimawazo na kimtazamo?
Bdae usiseme hatukukwambiaMkuu ....
Takwimu wanaotumia ARV nchi nzima ni 1.3M kati ya 60M.
Acha kukuza mambo
Labda itakuaMsomali ila nashangaa anataka kugomba huko. Labda alizaliwa na kukulia huko.
sure