Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Hivi mdau mwenzangu umewahi kujiuliza swali hili?
Katika mihimili mitatu ya Dola,mahakama ndio mhimili pekee unaotenda haki kwa wapinzani.Mahakama zetu zingekuwa zinafanya kazi kama Bunge kwa kuilonda serikali hakika upinzani leo ungekuwa unasuasua kwa kiasi kikubwa.Mifano ni mingi kuanzia kesi za wabunge,mfano kesi ya mh.Lema na sasa hii ya Lwakatare.
Mwisho, nashauri taasisi zinazohusika na haki za binadamu,utawala bora pamoja na vyama vyote vya upinzani viungane kuitisha maandamano ya kupongeza mhimili huu wa dola kwa kutenda haki na pengine kulaani mwenendo wa bunge la Makinda.
Kama maandamano ni tatizo basi hata watoe salamu za pongezi kwenye vyombo vya habari kama TV na magazeti.
Katika mihimili mitatu ya Dola,mahakama ndio mhimili pekee unaotenda haki kwa wapinzani.Mahakama zetu zingekuwa zinafanya kazi kama Bunge kwa kuilonda serikali hakika upinzani leo ungekuwa unasuasua kwa kiasi kikubwa.Mifano ni mingi kuanzia kesi za wabunge,mfano kesi ya mh.Lema na sasa hii ya Lwakatare.
Mwisho, nashauri taasisi zinazohusika na haki za binadamu,utawala bora pamoja na vyama vyote vya upinzani viungane kuitisha maandamano ya kupongeza mhimili huu wa dola kwa kutenda haki na pengine kulaani mwenendo wa bunge la Makinda.
Kama maandamano ni tatizo basi hata watoe salamu za pongezi kwenye vyombo vya habari kama TV na magazeti.
