Hali Kama hii Imekaa Vibaya Jamani, Fikiria Ungekuwa Wewe...!

Hali Kama hii Imekaa Vibaya Jamani, Fikiria Ungekuwa Wewe...!

Mnakuwa kama mnaenda au mnatoka kuwanga kijiji cha jirani mkuu
 
Mnakuwa kama mnaenda au mnatoka kuwanga kijiji cha jirani mkuu

Teeeeheeee teeeheee eeheeeee duh!
ahaaaa aaahaaaa aahaa haahaaahaaaa mfianchi bwanaaaa aahaaaaa ahaaaa hahahahaa!
 
Mimi sitaki kufikiria kama ni mimi ingekuwaje? Usiombe haya yakutokee ni mbaya sana, yasikie kwa wenzako tu
 
kama una kisimu cha mkononi kinachorekodi inakuwa bonge la dili. unawauzia aljazeera au cnn , neksti day unaonekana kwenye mikataba ya richmond na suti lako.
 
Usiombe yakakuta mkuu, hapo hamna la kufanya zaidi ya kushangaa tu.
 
kama una kisimu cha mkononi kinachorekodi inakuwa bonge la dili. unawauzia aljazeera au cnn , neksti day unaonekana kwenye mikataba ya richmond na suti lako.

katatoka wapi wakati watakua wamechuka kila kitu??
hebu fikiria jinsi mavazi yanavyo tusitiri sasa ndo kichele mhhhhhh nawaangalia nilionao karibu hapa
ukweli sipati picha huyu ni mnene sana mweusi yule ni......... khaaaa we acha tu!
 
kama una kisimu cha mkononi kinachorekodi inakuwa bonge la dili. unawauzia aljazeera au cnn , neksti day unaonekana kwenye mikataba ya richmond na suti lako.


Utakatumia muda gani ukizingatia utakua kichele
pia naamini watukua wamekunyanganya wanaume?
 
Nimeshuhudia hichi kitu, jiandae nawapa uhalisia wa skendo yenyewe
 
walipo kimbilia nguo sasa kuchagua mpaka uipate ya kwako ipo kazi unaweza jikuta mwanaume umevaa gauni bila kujijua kwa sababu ya hofu na kuficha uchi! sasa kama una chupi iliyochanika hapo sijui
Hakuna atakayejuwa kuwa ina tobo maana hofu ya kifo inakufanya usione mengine..........
 
Walipo kimbilia nguo sasa kuchagua mpaka uipate ya kwako ipo kazi unaweza jikuta mwanaume umevaa gauni bila kujijua kwa sababu ya hofu na kuficha uchi! Sasa kama una chupi iliyochanika hapo sijui

Ni kweli ukiwa na chupi iliyochanika nayo ni balaa, wakati niko mdogo shangazi alikuwa anapenda kuniambia usiwe unapenda kuvaa chupi zimechanika au nguo za ndani chafu ukipatwa na shida barabarani utafanya watu washindwe kukusaidia kwa ajili ya uvundo au hiyo aibu ya manyambunyambu ya ndani. unakuta mtu nje kavaa poa ndani manyambunyambu tena machafu.

ila tukirudi kwenye hili la utekaji nyara na kuvuliwa nguo kwa kweli inasikitisha na kutia simanzi ni kweli uombe Mungu yasikukute maana haitafutika kichwani mwako na hasa ikukute hii dhahama ukiwa na watoto wako wa kike na kiume au hata wakwe inasikitisha sana maana ni ajali lakini yenye kudhalilisha sana. Mungu atuepishie.
 
Duh Jamani nimeshuhuudia haya yakitokea!:A S new::A S new::A S kiss::blah:
 
WanaJF, mara kwa mara tumesikia kuhusu utekaji wa mabasi ya abiria na bahati mbaya sana watekaji huwa wanawavua nguo zote abiria na wanabaki uchi wa nyama. Mimi haijawahi kunitokea! Sijajua wanaovuliwa nguo huwa wanafanyaje baada ya hapo, kwamba huwa wanaomba msaada kwa wapita njia au vipi?
1. Ukizingatia wako jinsia tofauti tena uchi, je, nani anakuwa kiongozi wao?
2. Kila mtu atakuwa amekaa chini kujisitiri, nani ataanza kunyanyuka kwa ajili ya kuchukua hatua zinazofuata? Just thinking loudly!
3. Jifikirie ulivyo ukiwa peke yako tena uchi, kisha jifikirie mkiwa kundi, pia mko uchi: Jinsia tofauti, maumbo tofauti, rangi tofauti, hapo inakuwaje? A further loud thinking!
Kama wewe ungekuwa kwenye hali kama hiyo ungefanyaje?


Kuna watu kama wameumbwa na mabarafu au hawana DINI yaani aibu hakunaunaweza ukashangaaaa kwenye matatizo hayo bado Jitu LImesimamisha mtarimbo wake KISA kaona wenzie wa jinsia ya kike wako uchi yaaani pamoja na kupigwa na kuaibishwa kwa kuvuliwa nguo bado ANTENA itaenda FULLL hahhhhhhhh
 
Back
Top Bottom