rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 5,749
- 7,038
Hizo taratibu ndiyo zinawacost.
Taratibu huwa zinafanyiwa maboresho iwapo hizo taratibu hazina manufaa.
Wale taratibu zao sasa!!!!. Elimu Elimu Elimu sio kuandika ni kuwa na vision.
Kama mnashindana na faida ipo, well and good.Sio kwamba fast jet wanakimbia ushindan!
"mtu mweusi ni kiumbe chenye roho mbaya zaidi duniani"
wafanyakazi wote wa serikali wanatosha abiria kupata faidaFastjet imetoa tamko Leo kwamba Biashara yake ya Tanzania haina faida na kwamba inaweza kufunga virago kama isipopata mtaji mwezi huu. Hii ndio statement walioitoa London stock exchange
...............
Additional funding will be required by the end of October to enable fastjet to continue operating; The Company is currently in active discussions with its major shareholders regarding a potential equity fundraising, in the absence of which the Group is not able to continue trading as a going concern. Whilst initial discussions with certain shareholders have been positive, discussions are ongoing and there can be no guarantee of a successful outcome."
.......
Fundisho kwa Air tz.
Biashara ya ndege sio rahisi.
hahahaha!!Cheupe fafanua.
ndo shida yetu hiii mtu anafanya biashara sio msaada anahitaji faida ili kujiendesha na pia kuongeza kipato .....mlitaka asipate faida ama sababu price yake ilikuwa resonable sana kama umefanya booking mapemaNatumai wewe sio "mtu mweusi" na wakati wanafanya huo unyonyaji nadhani walikuwa wanawafanyia "watu weupe".
Kabisa mkuuKama fast jet wameshindwa Air tanzania kazi itakuwa ngumu zaidi.
Fastjet walikuwa na business plan na walikuwa wanamapesa kibao kutoka London stock exchange. ATC ni siasa tu na ukichukulia hali ya kifedha ya serikali sasa je wanaweza kuweka fedha walizoweka fast jet? Sidhani.Kabisa mkuu