Hali mbaya ya bei za vyakula nchini, kwanini mawaziri husika wasijipima katika hili kama wanatosha au laa!

Hali mbaya ya bei za vyakula nchini, kwanini mawaziri husika wasijipima katika hili kama wanatosha au laa!

MR.NOMA

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2014
Posts
339
Reaction score
505
Wakuu kwema! Hali ya bei za vyakula inatishia kwelikweli, mawaziri husika hawaoneshi jitihada zikaeleweka na bei zikashuka kwanini wasijipime na wakaamua kutupisha na Ili tupate watu wanaoweza kudhibiti Hali hii.

1. Mchele 3000-4000/-
2. Maharage zaidi ya 3500/-
3. Unga zaidi ya 2000/-
4.Nk.

Kama mahindi,mpunga,maharage na ivo vingine vyote vinalimwa hapa nchini, kwanini tulishindwa kudhibiti usafirishaji wa bidhaa hizi nje tangu mapema na Sasa wananchi wanateseka? Kwa hili inatakiwa mawaziri husika wajitathmini.
 
Mawaziri ndio wanakulimia wewe ule tuu!? Takataka kabisa. Sisi wenzio tuna kaa mjini na tunalima husikii tunalialia kifala. Waambie wazazi wako wajipime kwa kuzaa dodokii kama Wewe
 
Back
Top Bottom