Elections 2010 Hali ngumu CCM nyanda za juu kusini

Elections 2010 Hali ngumu CCM nyanda za juu kusini

Acha watu wajue ukweli kwanza..............maamuzi baadaye watakapokubali kukataa pilau na pombe za kienyeji za ccm...
ni lazima maovu ya ccm yaanikwe ili watu wajue kuwa hakifai, ili wapate sababu ya kukiacha chama hiki kinachokumbatia mafisadi. Wananchi wana haki ya kujua uchafu wa ccm ili wafanye uchaguzi uliokwenda shule!
 
.

Nina mashaka sana kama nchi yetu itakuja kuongozwa na chama cha upinzani badala ya CCM. mashaka haya yanatokana na mbinu zinazotumiwa na upinzani kwamba wakiwashambulia CCM na viongozi wake badala ya kutoa sera mbadala ndio njia bora kabisa kabisa ya kupata ushindi. Kwanza nilidhani wao watakuja na sera ya namna ya kutatua matatizo ya wananchi na utekelezaji wa sera hizo. Ni maoni yangu tu.
Sera za sisiem ni kutoa ahadi? kila anapopita huyu mkwere anasema nitawajengea daraja, mara ooh...nitajenga kituo cha afya.......hizo ndio sera za sisiem? THINK.........
 
JINAMIZI la uchakachuaji wa matokeo ya kura za maoni pamoja na migogoro ya ardhi katika maeneo mbalimbali nchini jana liliipa CCM mtihani mgumu baada ya wananchi katika maeneo tofauti kumzomea mgombea na katika eneo jingine kumpa wakati mgumu mgombea urais wa CCM, Jakaya Kikwete

labda sijaelewe
hivi hii habari ina uhusiano gani na nyanda za juu kusini?
 
Mkuu matatizo ya nchi hii ni zaidi ya CCM...hata tukibadili chama bado watu walioshika nafasi za utendaji na za maamuzi ni wale wale na mifumo ndio inafanya life kuwa tafu zaid...yawezekana CCM wamechangia kwa kiasi fulani lakini tukijitazama sisi Mmoja mmoja utakuta matatizo tunayo ndani yetu mfano Rushwa haihitaji mtu awe CCM, au kupandisha bidhaa kiholela haitokani na chama bali mtu binafsi na tamaa zake...tumefanya haya mambo kuwa utamaduni wetu...tukibadili mienendo yetu basi mifumo itabadilika na hivyo viongozi nao watabadilika na kurudi kwenye mstari...tukitazama matatizo yetu yote kuwa chanzo zhake ni CCM basi hatutayatatua kamwe coz CCM ikirudi madarakani tutakata tamaa kwa kuhisi matatizo yetu hayatapewa suluhisho wakati tuna uwezo wa kutatua baadhi ya mambo sisi wenyewe.

Msingi mkuu wa kuanguka kwa taifa la TZ ni CCM kwa sababu zifuatazo:

1. Chama ambacho ndicho kinachoongoza nchi hakina political will kupambana na wizi wa mali ya uma. CCM yenyewe inaiba kutoka katika mapato ya nchi kwa ajili ya kufanikisha mambo yake ya uchaguzi niambie leo watapata wapi ubavu wa kuwazuia wananchi wengine.

2.CCM imechagua makada wake kuongoza taasisi nyeti nchini na kuzifanya zisiwe independent. Kwa mfano TAKUKURU, Tume ya Uchaguzi, n.k
Msingi mkuu wa hili ni kutokuwa na katiba inayo vifanya vyombo au taasisi hizi ziwe independent.

Na kwa kujua kuwa mfumo huu unawanufaisha wao hawana interest ya kubadilisha katiba, imagine hiyo haipo hata kwenye ilani yao ya uchaguzi.

Kwa hiyo si kweli kwamba matatizo yetu ni zaidi ya CCM bali matatizo yetu ni CCM na pale tutakapoamua kuwaondoa na kuwaweka watu ambao wameamua kubadili katiba mbovu hii tutaanza kuona mwanga wa tumaini jipya kwa nchi yetu.

Namalizia kwa kusema kuwa kwa mtazamo wangu CCM wanatumia mwamvuli wa chama kutuhadaa tu watanzania. Hiki ni kikundi cha MAFIA ambao ajenda yao kuu ni kushika dola ili waweze kujinufaisha wao na familia zao. Namna wanavyooperate ni kama a political party but it's actually not, ila bahati mbaya watz wengi hawalijui hili. Ni kundi la watu wezi ambao kwa kushirikiana na manyang'au wa nje wanaitafuna nchi kama mbwa mwitu.
 
Today 10:46 AM #1
HIMO ONE

  • profile.png
    View Profile
  • forum.png
    View Forum Posts
  • message.png
    Private Message
  • article.png
    View Articles
  • add.png
    Add as Contact
  • email.png
    Send Email

user-offline.png

Junior Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
Join Date Mon Sep 2010 Posts 1
Thanks : 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power 0
haya tuacheni jamani, tujadili hoja. hawa si watu wapya tunajua nn wanafanya yote ni CHADEMA kuchachawa
 
Back
Top Bottom