Hali ngumu ya maisha, Afisa wa polisi ajiua kwa kujipiga risasi Jomo Kenyatta (JKIA)

Hali ngumu ya maisha, Afisa wa polisi ajiua kwa kujipiga risasi Jomo Kenyatta (JKIA)

Duh, apumzike pema peponi, ila kwa jinsi alivyo mzuri, itakua mijitu ya kiume kwenye jeshi la polisi ilimzingua sana.
1472210399137.jpg
Dah mkuu umemsifia sana nakuwekea picha nyingine .. apumzike kwa amani
 
mwana dada mwenyewe kajieleza ... "Maisha ni magumu unapoishi katika ulimwengu ambapo kila mtu anapanga kukufanyia maovu...."

sasa hii story ya njaa na sijui maisha ya kenya imetoka wapi jameni nyinyi watz? jamani nyi watu wanyama kiasi ghani. mko radhi mtumie tukio la kuhuzunisha kama hili ili muongeze chumvi na kujibandikia story zengine ili muskie raha nyoyoni mwenu. Ndo maana hata mmoja wenu kwa ile mada nyengine alikua anaomba mungu eti kenya kue na ghasia watu wauane kwa wingi ili askie raha. nyi watu bana...eh
 
Wabongo mnafaa darasa linapokuja suala la kuheshimu na kuwapenda wanawake. Hufai kumbagua yeyote, hawa viumbe wameumbwa kwa ajili yetu wanaume, cha msingi ni dushe lako liwe imara muda wote. Tatizo mkishindwa kutimiza, mnaanza mambo ya Ukenya na Tanzania hata kwa mademu. Na ndio maana tunawabeba mademu wenu wote kuanzia Rombo hadi Dar...heheheh

Kipenda roho, hula nyama mbichi....


Mnawabeba coz,kenya hawapo wa nzuri kama wtz,sisi wanaume watz hatuwabebi kwenu coz,hawajui mapenzi,alafu,they are not beautiful.
 
mwana dada mwenyewe kajieleza ... "Maisha ni magumu unapoishi katika ulimwengu ambapo kila mtu anapanga kukufanyia maovu...."

sasa hii story ya njaa na sijui maisha ya kenya imetoka wapi jameni nyinyi watz? jamani nyi watu wanyama kiasi ghani. mko radhi mtumie tukio la kuhuzunisha kama hili ili muongeze chumvi na kujibandikia story zengine ili muskie raha nyoyoni mwenu. Ndo maana hata mmoja wenu kwa ile mada nyengine alikua anaomba mungu eti kenya kue na ghasia watu wauane kwa wingi ili askie raha. nyi watu bana...eh
Mkuu chumvi wapi imeongezwa..!?
 
Huyo dada atakua anatokea kawangware, muirigo, ngumba, githural, Soweto, uthiru, riruta, muirigol, Mathare au Kibera.

Hayo ndio maeneo ya makapurwa huko Nairobi.
 
Mkuu chumvi wapi imeongezwa..!?
moja wenu kasema "njaa ni mbaya", mwengine kasema wakenya wanajifanya kusherehekea kushinda medali za olimpiki kumbe wanakufa na njaa, mwengine kasema wakenya wanajidai maringo kumbe maisha mabaya watu wanaishi vibaya hadi wanakufa njaa..... sasa sijui haya yote yametoka na wapi, taarifa yenyewe imejieleza kwanini mwanadada kajitoa uhai lakini watz mnajiongezea yenu.... yaani wivu umewajaa hadi unamwagika, kumbe wakati si tunasherehekea nchi yetu (kama tunaposhinda olimpiki) nyinyi hua hamtaki kuona mazuri yakitufanyikia, ndo maana mkiona story kama hii mnajileta kwa wingi mkitaka kuona wakenya wakimwaga damu ndo mskie raha moyoni
 
Usione watu wanacheka kwa nje,mioyoni wanalia na maumivu kila siku
Nasisitiza kufanya ibada kukabidhi shida zetu kwa Mungu...fanya juhudi kadri uwezavyo yanayokushinda kabidhi kwa Mungu mana hata uwe na mawazo huwezi Ongeza hata dk moja ya maisha yako....
Sishangai watu wanaojiua,life took me to that point twice..i learnt the only way ni kufanya maombi kila siku mpe Mungu akubebee yanayokutesa,na jilinganishe na wenye hali ya chini kimaisha kuliko wewe, shukuru endelea mbele... Wapo wenye makubwa kuliko yako,tusikate tamaa
 
Usione watu wanacheka kwa nje,mioyoni wanalia na maumivu kila siku
Nasisitiza kufanya ibada kukabidhi shida zetu kwa Mungu...fanya juhudi kadri uwezavyo yanayokushinda kabidhi kwa Mungu mana hata uwe na mawazo huwezi Ongeza hata dk moja ya maisha yako....
Sishangai watu wanaojiua,life took me to that point twice..i learnt the only way ni kufanya maombi kila siku mpe Mungu akubebee yanayokutesa,na jilinganishe na wenye hali ya chini kimaisha kuliko wewe, shukuru endelea mbele... Wapo wenye makubwa kuliko yako,tusikate tamaa
Really?! [emoji15]
 
safi huu ndo ujasiri kama Mkwawa mtemi wa Iringa mambo yakibana usingoje mpaka udhalilike unaamua fasta waliobaki shauri yao
 
Huyo dada atakua anatokea kawangware, muirigo, ngumba, githural, Soweto, uthiru, riruta, muirigol, Mathare au Kibera.

Hayo ndio maeneo ya makapurwa huko Nairobi.
inaonekana unafahamu kenya zaidi yetu wakenya mpaka githural unaijua...kwa taarifa yako hatoki hizo sehemu ulizozitaja ambazo hazipo hata kenya..muirigol ni wapi.i knew her personally we trained with her 8yrs ago so if you know nothing shutup.
 
inaonekana unafahamu kenya zaidi yetu wakenya mpaka githural unaijua...kwa taarifa yako hatoki hizo sehemu ulizozitaja ambazo hazipo hata kenya..marigol ni wapi.i knew her personally we trained with her 8yrs ago so if you know nothing shutup
Ha ha ha
 
inaonekana unafahamu kenya zaidi yetu wakenya mpaka githural unaijua...kwa taarifa yako hatoki hizo sehemu ulizozitaja ambazo hazipo hata kenya..muirigol ni wapi.i knew her personally we trained with her 8yrs ago so if you know nothing shutup.
Please sincerely i give my condolences to you on behalf. the dismissal of our beloved means the world to me.🙁
 
Back
Top Bottom