Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Huyo Mungu hata hayupo, mnasingizia tu.Bro mimba zinatokea kwa kupanga au ni kudra za Mungu, hivyo huwezi KUZUIA uzazi bila kutumia njia mbadala na watu hawazitaki
Hiki la kusingizia Mungu mambo mnayofanya wenyewe ni tatizo kubwa sana nalo.