Hali ni mbaya kwenye ubunifu wa Programming kwa wahitimu wa IT Tanzania, Roughly 80% wanaishia kujua html tu.

Hali ni mbaya kwenye ubunifu wa Programming kwa wahitimu wa IT Tanzania, Roughly 80% wanaishia kujua html tu.

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Wengi huwa wanaambulia html tena ile basic kabisa, wachache angalau wataongezea php, javascript, wachache sana hawa wenye passion ndio wataingia mpaka kwenye python, c#, c++, java... Hapa nazungumzia kuelewa kwa lengo la uundaji na ubunifu sio kukariri tu kwajili ya test kisha baada ya hapo vina evaporate.

Na ndio maana hapa bongo apps ni chache sana za kibunifu, wengi huishia ku edit tu templates, hapa utakuta apps za habari na mziki karibu zote zimefanana sababu ni template moja inaeditiwa, nakumbuka pia hapo miaka ya nyuma kuna jamaa wa chuo xxx alikopi template ya facebook akauita mtandao wake ----.com, ni mambo ya ajabu.
 
Mkuu NetMaster sema nini kifanyike? Maana sidhani kama practicals zinafanyika za kutosha huko vyuoni. Ishu kubwa inaanzia hata kwa wakufunzi hawana hata profile za github unazoweza kuona projects na nini wamefanya, ishu ni kukariri output tu .
 
Mkuu NetMaster sema nini kifanyike? Maana sidhani kama practicals zinafanyika za kutosha huko vyuoni. Ishu kubwa inaanzia hata kwa wakufunzi hawana hata profile za github unazoweza kuona projects na nini wamefanya, ishu ni kukariri output tu .
Mi naona wanafunzi vyuoni wanapimwa sana theory, yani ni theory inaua sana

Nina wadogo zangu hapa karibu na chuo mojawapo chenye kozi ya IT huwa tukipiga story za IT wananiambia huko chuoni practicle ikiwa na marks nyingi sana basi ni 10%, zinazobaki ni theory tu tena kwa maswali yale ya kukomoana hayapo direct mithiri ya cpu ni ukoko wa computer, hebu kwangu, damn!!! hapa mwanafunzi inabidi atumie muda mwingi kujibu maswali ya theory

Ingependeza kuwe na practicles za kutosha na maswali ya theory yawe direct
 
Mi naona wanafunzi vyuoni wanapimwa sana theory, yani ni theory inaua sana

Nina wadogo zangu hapa karibu na chuo mojawapo chenye kozi ya IT huwa tukipiga story za IT wananiambia huko chuoni practicle ikiwa na marks nyingi sana basi ni 10%, zinazobaki ni theory tu tena kwa maswali yale ya kukomoana hayapo direct mithiri ya cpu ni ukoko wa computer, hebu kwangu, damn!!! hapa mwanafunzi inabidi atumie muda mwingi kujibu maswali ya theory

Ingependeza kuwe na practicles za kutosha na maswali ya theory yawe direct
Insbort mtu ajiongeze tuuu hamna kufuatiliana hapa wote waliogundua vitu vya muhimu waliamua wenyewe ku dig deep mkuuu hamna jipya hapo
 
Insbort mtu ajiongeze tuuu hamna kufuatiliana hapa wote waliogundua vitu vya muhimu waliamua wenyewe ku dig deep mkuuu hamna jipya hapo
ni kweli, kujifunza pekeyako nako kunasaidia

hata mimi Binafsi niliishia form 4, kazi useremala since then ila nipo interested sana na mambo ya IT so huwa napenda jifunza mtanadoni.... vitu kama html, css na java script kwa mbali najipigia tu.... mambo ya kushusha torrents, ku root simu, kupiga windows, ku assemble pc, n.k. naweza fresh, Madogo wengi nao wananikubali si haba, nipo fresh tu na ndio huwa kinanikutanisha sana na hao madogo

PRACTICLES ZINA UMUHIMU SANA
 

cc: Cannabis
 
ni kweli, kujifunza pekeyako nako kunasaidia

hata mimi Binafsi niliishia form 4, kazi useremala since then ila nipo interested sana na mambo ya IT so huwa napenda jifunza mtanadoni.... vitu kama html, css na java script kwa mbali najipigia tu.... mambo ya kushusha torrents, ku root simu, kupiga windows, ku assemble pc, n.k. naweza fresh, Madogo wengi nao wananikubali si haba, nipo fresh tu na ndio huwa kinanikutanisha sana na hao madogo

PRACTICLES ZINA UMUHIMU SANA
Ooh vizur mkuuu shida watu wanapenda kutafuniwa kila kitu ndo maana wanatoka vyuoni wapo empty ni bora wangeambiwa na kuaminishwa kuwa inabidi ujifuatilie mwenyewe kwenye career yako hamna mtu atakuambia fanya a,, au fanya b au c hamna kitu kama hicho mkuuuu

Ndo maaana wanafunzi wengi wa special school wanatoboa maana wanajua kujifuatilia na kujifundisha vitu vingi kuliko kutegemea chuo au mwalimi inakuwa sio poa aseee
 
hata mimi Binafsi niliishia form 4
Kazi usele mara endelea tu na usele mara, hivi we umebuni nini chenye maana kumzidi yule mzee wa Bunju anaeandika maandishi kwenye mbao kwa kutumia Maya bila mtu kujua kua kilichoandikwa pale ni maandishi Ila kwa mfumo wa maua ? We si ni yule jamaa Sele mara mlevi tuliekupangisha kwetu hujaoa Ila una mtoto mmoja anaeishi na mama yake ?

Uwe na nidhamu na taaluma za watu mkuu, of course yes kuna changamoto unakuta mwanafunzi yupo nondo kumzidi anaemfundisha kifuatacho ni competition, practical ni vifaa hilo inabidi uelewe unapozungumzia app na website haiihitaji vifaa lundo wala nini ni bundle na WiFi tu inatosha, wanafunzi hufundishwa kuanzia chini kabisa HTML, CSS, Visual Basic, Excel km Excel, Java km Java, C#, C++, JavaScript, PHP, Python unaweza ukapasuka mwenye na akina Django, sasa wewe selemala unajua nini maana ya practicals? Unaposema wanatumia templates sio kweli kuna wadau kibao wamebuni apps zipo play store ubaya wa wabongo hawapendi vya kwao, niliona kuna website moja ya shule moja maarufu sana Mjini Dar nikaambiwa jamaa alieunda ile website alifanya kazi Chuo fulani ni website moja kali sana ameunda kwa kutumia Excel, pia ameunda website ya Chuo fulani maarufu, sasa wewe unataka kusemaje moja Kati ya kazi za vijana wa bongo Ila zinatumiwa na wamarekani ni hii wabongo wanadharau vya kwao
Screenshot_20230416-214203.png
 
Kazi usele mara endelea tu na usele mara, hivi we umebuni nini chenye maana kumzidi yule mzee wa Bunju anaeandika maandishi kwenye mbao kwa kutumia Maya bila mtu kujua kua kilichoandikwa pale ni maandishi Ila kwa mfumo wa maua ? We si ni yule jamaa Sele mara mlevi tuliekupangisha kwetu hujaoa Ila una mtoto mmoja anaeishi na mama yake ?

Uwe na nidhamu na taaluma za watu mkuu, of course yes kuna changamoto unakuta mwanafunzi yupo nondo kumzidi anaemfundisha kifuatacho ni competition, practical ni vifaa hilo inabidi uelewe unapozungumzia app na website haiihitaji vifaa lundo wala nini ni bundle na WiFi tu inatosha, wanafunzi hufundishwa kuanzia chini kabisa HTML, CSS, Visual Basic, Excel km Excel, Java km Java, C#, C++, JavaScript, PHP, Python unaweza ukapasuka mwenye na akina Django, sasa wewe selemala unajua nini maana ya practicals? Unaposema wanatumia templates sio kweli kuna wadau kibao wamebuni apps zipo play store ubaya wa wabongo hawapendi vya kwao, niliona kuna website moja ya shule moja maarufu sana Mjini Dar nikaambiwa jamaa alieunda ile website alifanya kazi Chuo fulani ni website moja kali sana ameunda kwa kutumia Excel, pia ameunda website ya Chuo fulani maarufu, sasa wewe unataka kusemaje moja Kati ya kazi za vijana wa bongo Ila zinatumiwa na wamarekani ni hii wabongo wanadharau vya kwaoView attachment 2590357
Mbona umenijibu bila staha, kuna sehemu labda nimejikweza kwamba mimi ni bora ? kuniponda mimi ni fundi seremala kuna husiana vipi na maada hii na unajua pesa nayoingiza ama sehemu naishi hadi uanze kunipikia hayo majungu ?

Mimi niweweka mjadala wa uhalisia na ninajua kwamba watu huko byuoni wanafundishwa hizo c#, c++, python, n.k. ila sasa wengi wanaishia kujifunza kwa namna ya kujibu tu definitions, principles, andantages, n.k. kwenye paper na ndio inakuwa imeisha hio maana hata walimu wanalazimisha iwe hivyo ukijibu paper kwa mawazo yako unakula mkasi inabidi ujibu kama ilivyo kwa notes zao kitu amacho kinaonesha kwamba na walimu wengi hawaelewi ndio maana wanataka ufatilize kujibu kama kwenye notes wanazotoa.

Halafu huyo jamaa ulieweka app yake ni hao wachache sana nilowazungumzia, Big up kwake anafanya kazi benki ila hajabweteka,
 
Sasa mkuu kuniponda mimi ni fundi seremala kuna husiana vipi na maada hii, au kuna sehemu labda nimejikweza kwamba mimi ni bora ? kutia chumvi na kupikia majungu life langu for what, hili jukwaa la udakunology ?

Mimi niweweka mjadala wa uhalisia na ninajua kwamba watu huko byuoni wanafundishwa hizo c#, c++, python, n.k. ila sasa wengi wanaishia kujifunza kwa namna ya kujibu tu definitions, principles, andantages, n.k. kwenye paper na ndio inakuwa imeisha hio maana hata walimu wanalazimisha iwe hivyo ukijibu paper kwa mawazo yako unakula mkasi inabidi ujibu kama ilivyo kwa notes zao kitu amacho kinaonesha kwamba na walimu wengi hawaelewi ndio maana wanataka ufatilize kujibu kama kwenye notes wanazotoa.

Halafu huyo jamaa ulieweka app yake ni hao wachache sana nilowazungumzia, Big up kwake anafanya kazi benki ila hajabweteka,
Mi mwenyewe nimemshangaa sana aseee
 
mkuu sio wote, watu tupo hapa tunapiga vitu heavy na life linaendeshwa kwa kutegemea programming, ila nachoweza kusema programming inaanza kwanza na passion then uwe mtu wa kujiongeza sana usizubae, mwisho uvumilivu pia na uwe unaji update mara kwa mara, ukihimili hivyo you rockin
 
Certificate C programming + HTML, Diploma C na Java kidogo bila kusahau Web development deeply, ukija Bachelor unapigwa kachumbari moja hatari.. Data structure yenyewe unarudishwa tena kwenye C.
Cha ajabu mnafundishwa kutafuta "sum of two integers" na code zingine ambazo zote interface ni terminal tu! Motivation itatoka wapi?!?
Wengi huwa wana ndoto za kusoma IT wakiwa na mzuka wa kufanya vitu vikubwa tu, inspired by great men waliotusua kwenye sector hiyo.
WanaoExcel ni wanaojiongeza kutafuta knowledge mbali na kinachofundishwa darasani!

ILA BADO SIJAJUA KIFANYIKE NINI[emoji28]
 
Certificate C programming + HTML, Diploma C na Java kidogo bila kusahau Web development deeply, ukija Bachelor unapigwa kachumbari moja hatari.. Data structure yenyewe unarudishwa tena kwenye C.
Cha ajabu mnafundishwa kutafuta "sum of two integers" na code zingine ambazo zote interface ni terminal tu! Motivation itatoka wapi?!?
Wengi huwa wana ndoto za kusoma IT wakiwa na mzuka wa kufanya vitu vikubwa tu, inspired by great men waliotusua kwenye sector hiyo.
WanaoExcel ni wanaojiongeza kutafuta knowledge mbali na kinachofundishwa darasani!

ILA BADO SIJAJUA KIFANYIKE NINI[emoji28]
Elimu ya bongo ukitegemea darasani imekula kwako..lazma ujiongeze wewe kama wewe ile sana.
 
Back
Top Bottom