DOKEZO Hali ni mbaya sana kwa walemavu tuliosoma, Si Serikali wala kampuni binafsi ambazo ziko tayari kutuajiri. Tunabaguliwa

DOKEZO Hali ni mbaya sana kwa walemavu tuliosoma, Si Serikali wala kampuni binafsi ambazo ziko tayari kutuajiri. Tunabaguliwa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Addons

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2023
Posts
393
Reaction score
571
Niende kwenye mada moja kwa moja!!.

Nimekuwa moja ya wahanga wa hili Tatizo kwa muda mrefu sana

Kati ya watu wanaosoma kwa mateso makubwa sana ni watu wenye ulemavu, kuanzia shule za msingi mpaka sekondari, hii inatokana na miundo mbinu mingi kuwa tofauti na Hali zetu watu wenye ulemavu.

Wakati mtu mwenye ulemavu anapambna akiamini kuwa yeye hawez kulima, kutembeza mitumba, Wala kufanya kazi ngumu za ujenzi akitegemea akili yake tu ya darasani angalau impe mwanga wa maisha.

Baada ya ajira huyu mtu mwenye ulemavu anaanza kuzunguka na baiskeli yake au magongo yake kweny interview mbalimbali, wakati mwingine hufanyika mikoani, au kwenye majengo yasiyo na lift.
Wengi wanaishia kukata tamaa sana.

Kuna sehemu niliwahi kataliwa kabisa kisa mimi ni mlemavu kwamba siwezi kufanya hio kazi kwasababu nitakuwa naenda sana hospitali, yaani trip kazini trip hospitali. Wanahisi labda sisi ni wagonjwa fulani hivi,

Inaumiza sana sana, naongea kwa niaba Yao sana.

Wengi walioajiriwa ni sababu za kisiasa, ili ionekane hawabaguliwi hasa kwenye sekta zinazohusiana na walemavu ndio huko wamejazwa!

Nina watu nawajua ni walemavu, wanapitia kipindi kigumu sana lakini wakiwa na elimu Yao kichwani! Yaani huu unyanyapaa huwezi ona kwa jicho la kawaida! Ni dhamira za watu.

Kitanda usicholalia huwezi jua kunguni wake!! We feel pain sana sana

Natimiza mwaka wa saba(7) tangu nimalize digrii yangu ya usimamizi wa fedha..

Serikali haitujali tena, zaidi ya kutulazimisha tukope pesa tuu.

Wadau wapo kimaslahi na kisiasa zaidi wapate attention wakati wanatoa misaada.

Hata vyama vya walemavu sasa hawana la kusema baada ya kulamba sukari

Sisi tukimbilie wapi zaidi yenu wadau wa hapa JF, tusaidieni kupaza sauti sisi walemavu tuliopambana kusoma kwa bidii, tunatamani kubeba tofali angalau tupate mkate wa kila siku lakini Hali zetu hazituruhusu.

Tuliamini katika elimu nayo imetusaliti, nchi imetutenga, tuna hari mbaya sana
 
Niende kweny mada moja kwa moja!!..
Nimekua moja ya wahanga wa hili Tatizo kwa muda mrefu sana

Kati ya watu wanaosoma kwa mateso makubwa sana ni watu wenye ulemavu, kuanzia shule za msingi mpaka sekondari, hii inatokana na miundo mbinu mingi kuwa tofauti na Hali zetu watu wenye ulemavu.

Wakati mtu mwenye ulemavu anapambna akiamini kuwa yeye hawez kulima, kutembeza mitumba, Wala kufanya kazi ngumu za ujenzi akitegemea akili yake tu ya darasani angalau immpe mwanga wa maisha..

Baada ya ajira huyu mtu mwenye ulemavu anaanza kuzunguka na baiskeli yake au magongo yake kweny interview mbalimbali, wakati mwingne hufanyikq mikoani, au kweny majengo yasiyo na lifti .
Wengi wanaishia kukata tamaa sana.

Kuna sehem niliwahi kataliwa kabisa kisa mim ni mlemavu kwamba siwezi kufanya hio kazi kwasababu ntakua naenda sana hospital, yaan trip kazin trip hosp. Wanahis labda sisi ni wagonjwa flani hivi,

Inaumiza sana sana.. naongea kwa niaba Yao sana.

Wengi walioajiriwa ni sababu za kisiasa, ili ionekane hawabaguliwi hasa kweny sekta zinazohusiana na walemavu ndo huko wamejazwa!

Nina watu nawajua ni walemavu, wanapitia kipindi kigumu sana lakin wakiwa na elimu Yao kichwan! Yaani huu unyanyapaa huwezi ona kwa jicho la kawaida! Ni dhamira za watu...

Kitanda usicholalia huwezi jua kunguni wake!! We feel pain sana sana

Natimiza mwaka wasaba(7) tangu nimalize digrii yangu ya usimamizi wa fedha..

Serikali haitujali tena, zaid ya kutulazimisha tukope pesa tuu...

Wadau wapo kimaslahi na kisiasa zaidi wapate attention wakati wanatoa misaada

Hata vyama vya walemavu sasa hawana la kusema baada ya kulamba sukari

Sisi tukimbilie wapi zaid yenu wadau wa hapa JF, tusaidieni kupaza sauti sisi walemavu tuliopambana kusoma kwa bidii, tunatamani kubeba tofali angalau tupate mkate wa kila siku lakin Hali zetu hazituruhusu.

Tuliamini katika elimu nayo imetusaliti, nchi imetutenga, tuna hari mbaya san
Pole sana..
Lakini je hata ungekuwa wewe ,ungeweza kumuacha mtu ambaye si mlemavu ukaajiri mlemavu?

Niende kweny mada moja kwa moja!!..
Nimekua moja ya wahanga wa hili Tatizo kwa muda mrefu sana

Kati ya watu wanaosoma kwa mateso makubwa sana ni watu wenye ulemavu, kuanzia shule za msingi mpaka sekondari, hii inatokana na miundo mbinu mingi kuwa tofauti na Hali zetu watu wenye ulemavu.

Wakati mtu mwenye ulemavu anapambna akiamini kuwa yeye hawez kulima, kutembeza mitumba, Wala kufanya kazi ngumu za ujenzi akitegemea akili yake tu ya darasani angalau immpe mwanga wa maisha..

Baada ya ajira huyu mtu mwenye ulemavu anaanza kuzunguka na baiskeli yake au magongo yake kweny interview mbalimbali, wakati mwingne hufanyikq mikoani, au kweny majengo yasiyo na lifti .
Wengi wanaishia kukata tamaa sana.

Kuna sehem niliwahi kataliwa kabisa kisa mim ni mlemavu kwamba siwezi kufanya hio kazi kwasababu ntakua naenda sana hospital, yaan trip kazin trip hosp. Wanahis labda sisi ni wagonjwa flani hivi,

Inaumiza sana sana.. naongea kwa niaba Yao sana.

Wengi walioajiriwa ni sababu za kisiasa, ili ionekane hawabaguliwi hasa kweny sekta zinazohusiana na walemavu ndo huko wamejazwa!

Nina watu nawajua ni walemavu, wanapitia kipindi kigumu sana lakin wakiwa na elimu Yao kichwan! Yaani huu unyanyapaa huwezi ona kwa jicho la kawaida! Ni dhamira za watu...

Kitanda usicholalia huwezi jua kunguni wake!! We feel pain sana sana

Natimiza mwaka wasaba(7) tangu nimalize digrii yangu ya usimamizi wa fedha..

Serikali haitujali tena, zaid ya kutulazimisha tukope pesa tuu...

Wadau wapo kimaslahi na kisiasa zaidi wapate attention wakati wanatoa misaada

Hata vyama vya walemavu sasa hawana la kusema baada ya kulamba sukari

Sisi tukimbilie wapi zaid yenu wadau wa hapa JF, tusaidieni kupaza sauti sisi walemavu tuliopambana kusoma kwa bidii, tunatamani kubeba tofali angalau tupate mkate wa kila siku lakin Hali zetu hazituruhusu.

Tuliamini katika elimu nayo imetusaliti, nchi imetutenga, tuna hari mbaya san
 
Niende kweny mada moja kwa moja!!..
Nimekua moja ya wahanga wa hili Tatizo kwa muda mrefu sana

Kati ya watu wanaosoma kwa mateso makubwa sana ni watu wenye ulemavu, kuanzia shule za msingi mpaka sekondari, hii inatokana na miundo mbinu mingi kuwa tofauti na Hali zetu watu wenye ulemavu.

Wakati mtu mwenye ulemavu anapambna akiamini kuwa yeye hawez kulima, kutembeza mitumba, Wala kufanya kazi ngumu za ujenzi akitegemea akili yake tu ya darasani angalau immpe mwanga wa maisha..

Baada ya ajira huyu mtu mwenye ulemavu anaanza kuzunguka na baiskeli yake au magongo yake kweny interview mbalimbali, wakati mwingne hufanyikq mikoani, au kweny majengo yasiyo na lifti .
Wengi wanaishia kukata tamaa sana.

Kuna sehem niliwahi kataliwa kabisa kisa mim ni mlemavu kwamba siwezi kufanya hio kazi kwasababu ntakua naenda sana hospital, yaan trip kazin trip hosp. Wanahis labda sisi ni wagonjwa flani hivi,

Inaumiza sana sana.. naongea kwa niaba Yao sana.

Wengi walioajiriwa ni sababu za kisiasa, ili ionekane hawabaguliwi hasa kweny sekta zinazohusiana na walemavu ndo huko wamejazwa!

Nina watu nawajua ni walemavu, wanapitia kipindi kigumu sana lakin wakiwa na elimu Yao kichwan! Yaani huu unyanyapaa huwezi ona kwa jicho la kawaida! Ni dhamira za watu...

Kitanda usicholalia huwezi jua kunguni wake!! We feel pain sana sana

Natimiza mwaka wasaba(7) tangu nimalize digrii yangu ya usimamizi wa fedha..

Serikali haitujali tena, zaid ya kutulazimisha tukope pesa tuu...

Wadau wapo kimaslahi na kisiasa zaidi wapate attention wakati wanatoa misaada

Hata vyama vya walemavu sasa hawana la kusema baada ya kulamba sukari

Sisi tukimbilie wapi zaid yenu wadau wa hapa JF, tusaidieni kupaza sauti sisi walemavu tuliopambana kusoma kwa bidii, tunatamani kubeba tofali angalau tupate mkate wa kila siku lakin Hali zetu hazituruhusu.

Tuliamini katika elimu nayo imetusaliti, nchi imetutenga, tuna hari mbaya san
Pole sana mkuu.

Umejaribu kupitia ajira portal ?.
Huko private nina-uzoefu nako ni kugumu sana kwa watu wenye ulemavu kukupokea na sometime huwezi kuwalaumu, wale wanaangalia faida zaidi kuliko hali zetu. Na baadhi ya taasisi za serikali hawazingatii kabisa izo 3% na 50% ufaulu za walemavu kwenye ajira zao sijui kwanini.

Kuna group kubwa la whatsap la watu walemavu, nile namba PM wakuunge.
 
Pole sana Kwa hiyo changamoto Mkuu

Nafikiri watu wanaajiriwa Kwa kuzingatia weledi na tija ambayo unaweza kuongeza kwenye Taasisi husika.

Unaweza kuajiriwa ukiwa ni mlemavu wa ngozi/viungo ama chochote na ukawa na tija kwenye eneo husika.

Tuishi tukijua Kila mtu ni mlemavu mtarajiwa

Unaweza kuwa mzima sasa, lakini Bodaboda utakayopanda kesho ikakupa ulemavu keshokutwa
 
Pole sana mkuu.

Ni swali tu ambalo nahitaji uelewa, hivi kwenye usaili hasa serikalini, swala la ulemavu ni kigezo au ni kipaumbele katika kupata ajira? Naomba kujuzwa.

Kwa sababu kwa hali iliyopo sasa sidhani kama issue ni walemavu vs wasiokuwa walemavu, unless otherwise uwe competent na bado ufanyiwe figisu kutokana na hali yako. Ninachofahamu Issue ya ajira ni janga la kitaifa.

I stand to be corrected.
 
Afadhari hii mada umeweka hapa.

Hii nchi ina mambo ya Ajabu sijawahi ona, yaan mtu ana ajiriwa hadi kwa kuangaliwa Sexual Orientation yake, huu si upumbavu kabisa.

Kazi haiihitaji sexual affairs, inahusu mambo mengine kabisa, lakini hapo utaangalizwa hadi nani una date nae, km si ulofa n nn?

Li nchi ndo maana haliendelei, kutwaa ubaguzi wa kipumbavu usio na tija, una muacha mtu mwenye vigezo na sifa stahiki kwa kazi husika, kisa mapungufu yake, na una mchukua mwingine hata hajui lolote kisa ana ukamilifu fulani, jamani inaumiza hatariii.

Tupaze sauti, kuondoa sintofahamu hii.
 
Pole sana mkuu.

Ni swali tu ambalo nahitaji uelewa, hivi kwenye usaili hasa serikalini, swala la ulemavu ni kigezo au ni kipaumbele katika kupata ajira? Naomba kujuzwa.

Kwa sababu kwa hali iliyopo sasa sidhani kama issue ni walemavu vs wasiokuwa walemavu, unless otherwise uwe competent na bado ufanyiwe figisu kutokana na hali yako. Ninachofahamu Issue ya ajira ni janga la kitaifa.

I stand to be corrected.
Walemavu wanakanuni zao kuwafavour upande wa mambo ya ajira. Mfano kila ajira ya serikali 3% ni nafasi za walemavu, pia kwenye written intervirew mlemavu akifikisha 50% aijilishi cutting point ni ngapi huyo ataenda atua inayofuatia.

Ajabu kuna baadhi ya taasisi za serikali hizo kanuni wao ni kama hawazijui kabisa. Walau ajira portal na wale Tamisemi zamani wanajitahidi sana.

Mfano mzuri kuna izi ajira za mwisho za TRA, sikuaona kabisa suala la 3% kwenye izo ajira zao. Pia kuna walemavu nawafahamu walifikisha 50% kwenye written ila hawakwenda oral kisa hawakufikisha cutting point, na hata walipopeleka malalamiko hawakutoboa.

Sasa kama serikali yenyewe inatufanyia ivyo unategemea nini huko private ?.
 
Walemavu wanakanuni zao kuwafavour upande wa mambo ya ajira. Mfano kila ajira ya serikali 3% ni nafasi za walemavu, pia kwenye written intervirew mlemavu akifikisha 50% aijilishi cutting point ni ngapi huyo ataenda atua inayofuatia.

Ajabu kuna baadhi ya taasisi za serikali hizo kanuni wao ni kama hawazijui kabisa. Walau ajira portal na wale Tamisemi zamani wanajitahidi sana.

Mfano mzuri kuna izi ajira za mwisho za TRA, sikuaona kabisa suala la 3% kwenye izo ajira zao. Pia kuna walemavu nawafahamu walifikisha 50% kwenye written ila hawakwenda oral kisa hawakufikisha cutting point, na hata walipopeleka malalamiko hawakutoboa.

Sasa kama serikali yenyewe inatufanyia ivyo unategemea nini huko private ?.
Mkuu,

Shukrani sana kwa kunitoa tongo tongo, ni kweli kama ni wajibu na sheria kupata hizo favors na ikafanyika vinginevyo basi ni ukiukwaji mkubwa sana wa haki, ukizingatia tunatambua namna ndugu zetu mnavyopata changamoto mpaka kufika hatua kubwa za kielimu kutokana na changamoto za miundombinu isiyo rafiki.
 
Walemavu wanakanuni zao kuwafavour upande wa mambo ya ajira. Mfano kila ajira ya serikali 3% ni nafasi za walemavu, pia kwenye written intervirew mlemavu akifikisha 50% aijilishi cutting point ni ngapi huyo ataenda atua inayofuatia.

Ajabu kuna baadhi ya taasisi za serikali hizo kanuni wao ni kama hawazijui kabisa. Walau ajira portal na wale Tamisemi zamani wanajitahidi sana.

Mfano mzuri kuna izi ajira za mwisho za TRA, sikuaona kabisa suala la 3% kwenye izo ajira zao. Pia kuna walemavu nawafahamu walifikisha 50% kwenye written ila hawakwenda oral kisa hawakufikisha cutting point, na hata walipopeleka malalamiko hawakutoboa.

Sasa kama serikali yenyewe inatufanyia ivyo unategemea nini huko private ?.
Kwa kweli hii ya kufikiria wao tu cut of point inaumiza wengi Sana. Hasa hasa Hawa walemavu.
 
Back
Top Bottom