Ndio na kwenyewe ni kwa mbinde. Yaani tofauti na mahospitali maeneo mengine ni shida.Kweli hili ni changamoto maeneo mengi, japo miaka ya karibuni kwenye majengo ya Umma hasa ya Serikali wameanza kuweka accessories za kuweza kuwa accommodate watu wenye ulemavu pia
Ni mwanzo mzuri kwa kuanzia
Nakiri wazi, hii changamoto bado ipoNdio na kwenyewe ni kwa mbinde. Yaani tofauti na mahospitali maeneo mengine ni shida.
Kwingine ni changamoto mpaka vyoo si rafiki kwa ndugu zetu.
Nadhani kuna kupuuza ukizingatia namba yao ni ndogo mno.Nakiri wazi, hii changamoto bado ipo
Nadhani wenye mamlaka Wana wajibu wa kuhakikisha mazingira rafiki Kwa hawa ndugu zetu yanawekwa
Ukienda Mlimani City pale wamejitahidi kiasi chake ila maeneo mengine bado nguvu kubwa inahitajika
Tunaichannel vip mkuuPole sana Mkuu...
Kama una hoja unayotaka imfikie, sio lazima iende kwake.
Waweza ukai-channel Kwa Waziri husika.
Hopefully Waziri atakuwa na nafasi kubwa kukujibu kuliko huyo Mbunge.
Ni kimataifa pale kwahio wamezingatia hiloNakiri wazi, hii changamoto bado ipo
Nadhani wenye mamlaka Wana wajibu wa kuhakikisha mazingira rafiki Kwa hawa ndugu zetu yanawekwa
Ukienda Mlimani City pale wamejitahidi kiasi chake ila maeneo mengine bado nguvu kubwa inahitajika
Ukisikiliza story za wengi zinasikitisha sanaNadhani kuna kupuuza ukizingatia namba yao ni ndogo mno.
Angalia tovuti ya Bunge, Kuna email address za hao Mawaziri pamoja na namba zao za simu.Tunaichannel vip mkuu
Yeah sure, pale Wana Wageni wengi kwahiyo wame-considerNi kimataifa pale kwahio wamezingatia hilo
Utakuja kuzaa mtoto mlemavu, Au kama sio wewe ni mwanao niamini Mimi na tunza hii comment.Pole sana..
Lakini je hata ungekuwa wewe ,ungeweza kumuacha mtu ambaye si mlemavu ukaajiri mlemavu?
Wewe ni mpumbavu.Utakuja kuzaa mtoto mlemavu, Au kama sio wewe ni mwanao niamini Mimi na tunza hii comment.
Asante mkuu..Angalia tovuti ya Bunge, Kuna email address za hao Mawaziri pamoja na namba zao za simu.
Kama ishu ni serious niDM tujue cha kufanya
Nafikiri ni vzur watuajiri waache kuleta visingizioYeah sure, pale Wana Wageni wengi kwahiyo wame-consider
Nafikiri hakuna mtu anaezuiwa kusoma anachopenda!.. Kama wew umependezwa na ufundi cherehani ni heri kwako!!..Walemavu mna nguvu sana.
Na kuajiriwa sio kuwa na akili tu basi.
Kuajiriwa kuna kutembea sana, kubeba mizigo.
Kukimbiza mafaili
Kupanga mafaili kwenye makabati.
Kuitwa ofisi ya Mkurugenzi zaidi ya mara kumi kwa siku na yupo ghorofa ya tatu ambayo haina lifti.
Hivyo waajiri wanawaonea huruma kwa kimbiza kimbiza.
Ndio maana wanawakataa kwa mantiki ya kushindwa kufikia ufanisi wa kazi.
Walemavu mnanguvu sana basi msomee kazi za binafsi ambazo hazi hitaji kutembea tembea kama ufundi CHALAHANI.
Kwa wanawake wajifunze mambo kama ya Saloon na ususi na mapambo. Nk.
Nadhani mumeelewa
Hakika, nafikiri watazingatia kwenye ajira mpya walizotangaza hivi karibuni za TRANafikiri ni vzur watuajiri waache kuleta visingizio
🙏🙏Asante mkuu..
Mwalimu wangu Mr. Kaluhawe alikuwa na ulemavu wa kutoona. Akiwa anatoa lecture pale M9 SAUT mida baada ya lunch, ungemsikia anasema, "I see you sleeping"! Ahahahahaha! Alikuwa mwamba sana!Niende kwenye mada moja kwa moja!!.
Nimekuwa moja ya wahanga wa hili Tatizo kwa muda mrefu sana
Kati ya watu wanaosoma kwa mateso makubwa sana ni watu wenye ulemavu, kuanzia shule za msingi mpaka sekondari, hii inatokana na miundo mbinu mingi kuwa tofauti na Hali zetu watu wenye ulemavu.
Wakati mtu mwenye ulemavu anapambna akiamini kuwa yeye hawez kulima, kutembeza mitumba, Wala kufanya kazi ngumu za ujenzi akitegemea akili yake tu ya darasani angalau impe mwanga wa maisha.
Baada ya ajira huyu mtu mwenye ulemavu anaanza kuzunguka na baiskeli yake au magongo yake kweny interview mbalimbali, wakati mwingine hufanyika mikoani, au kwenye majengo yasiyo na lift.
Wengi wanaishia kukata tamaa sana.
Kuna sehemu niliwahi kataliwa kabisa kisa mimi ni mlemavu kwamba siwezi kufanya hio kazi kwasababu nitakuwa naenda sana hospitali, yaani trip kazini trip hospitali. Wanahisi labda sisi ni wagonjwa fulani hivi,
Inaumiza sana sana, naongea kwa niaba Yao sana.
Wengi walioajiriwa ni sababu za kisiasa, ili ionekane hawabaguliwi hasa kwenye sekta zinazohusiana na walemavu ndio huko wamejazwa!
Nina watu nawajua ni walemavu, wanapitia kipindi kigumu sana lakini wakiwa na elimu Yao kichwani! Yaani huu unyanyapaa huwezi ona kwa jicho la kawaida! Ni dhamira za watu.
Kitanda usicholalia huwezi jua kunguni wake!! We feel pain sana sana
Natimiza mwaka wa saba(7) tangu nimalize digrii yangu ya usimamizi wa fedha..
Serikali haitujali tena, zaidi ya kutulazimisha tukope pesa tuu.
Wadau wapo kimaslahi na kisiasa zaidi wapate attention wakati wanatoa misaada.
Hata vyama vya walemavu sasa hawana la kusema baada ya kulamba sukari
Sisi tukimbilie wapi zaidi yenu wadau wa hapa JF, tusaidieni kupaza sauti sisi walemavu tuliopambana kusoma kwa bidii, tunatamani kubeba tofali angalau tupate mkate wa kila siku lakini Hali zetu hazituruhusu.
Tuliamini katika elimu nayo imetusaliti, nchi imetutenga, tuna hari mbaya sana
Japo nataman kuwepo na system maalumu ya kuwajiri wenye ulemavu, ili isije ukawa hawa wakaajiri kwakuwa tu watu wamepaza sauti, then mwakani makosa yakajirudia vilevile kwakuwa labda hakuna wa kusema hili.Hakika, nafikiri watazingatia kwenye ajira mpya walizotangaza hivi karibuni za TRA