Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Hapo Beki 2 anakaba Kassongo Athuman.
4 na 5 wanamaliza Mustafa Hoza na George Masatu,
Winga teleza wako alikua hapiti kwenye huu ukuta. !!
Unaongea kujifurahisha wewe,nadhani umekisahau kizazi cha dhahabu cha wana Jangwani..
1.Mohamed Nyalusi
2.Sylivatus Ibrahim ''Polisi''
3.Kenneth Mkapa,Captain.
4.Mzee Abdalah
5.Said Mwamba Nassor Kizota,R.I.P
6.Salvatory Edward Augustino ''Doctor''
7.Akida Makunda
8.Abdul Maneno
9.Mohamed Hussein ''Machinga''
10.Nonda Shaaban Papii
11.Edibilly Jonas Lunyamila a.k.a Winga Tereeeza.
Hapo bench kuna...
Victor Kalokola
Sekilojo Chambua
Sanifu Lazaro Tingisha
Maalim Saleh Romario
Ally Yusuph Tigana
Na watumishi wa umma waliostaafu wakipatwa na matatizo serikali pia iwasaidie. sio Lunyamila kwa kuwa tu alikuwa ana jina kubwa.
Kiukweli Yanga na TFF ndo wanapaswa kumsaidia Lunyamila. Ameisaidia sana Yanga, sioni mafanikio yake Taifa stars kama walivofanya kina Jella Mtagwa ambao pia wametelekezwa.
Milioni 99 za mtani jembe walizochukua Yanga situmike kumsaidia huyu star wa zamani.
Ugua pole swahiba, mate na mtani wangu lunyalunya.
Lunya alikuwa na uwezo wa kuwachambua wote hao labda Masatu ndo alikuwa nomaHapo Beki 2 anakaba Kassongo Athuman.
4 na 5 wanamaliza Mustafa Hoza na George Masatu,
Winga teleza wako alikua hapiti kwenye huu ukuta. !!
Mkuu kuweka Picha ya Mtaalam wa Soccer huku kashikwa na Bwabwa Pamoja ni kosa kubwa... Naibu waziri wa Afya hawataki hao
Hii mada ni ya mwaka 2013Mungu amponye