Hali ni Ngumu Sana; Nimeulizwa Swali, Je Christmas ipo Mwaka huu au Imeahirishwa?

Nikisoma ulichoandika nasikia uchungu sana! Najiuliza hawa watu wa aina hiyo wamelishwa nini hadi akili hazifanyi Nazi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Different strokes for different folks.

Mimi libertarian. Hata kuwa na ID tu ni usumbufu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Basi kama unaishi Marekani utakuwa unasumbuka sana maana sidhani kama kuna nchi inayoizidi Marekani kwa watu wake kuwa ‘carded’.

Sijawahi nunua pombe sehemu yoyote ile bila kuonyesha ID!

Hata kwenye department stores ukitumia credit card unaombwa uonyeshe ID!
 
Sawa. Sitaki kuongezewa kuwa carded na wadukuzi Tanzania huko.
 
Jiwe anatumia style ya kuwaminya wananchi wasiwe na pesa ili aendelee kutawala,mwananchi akishiba anaanza makelele ya kisiasa akiwa na njaa mda mwingi yupo busy kutafuta kate hivyo ankali anakuwa anatawala vizuri.
 
Waambie Christmas hipo ,ila sherehe zake mwaka huu zimehairishwa na bajeti yake kwenda kugharamia Ada.
 
Kuna nchi zinategemea sana diaspora kwenye uchumi, kubana utumaji pesa wanatutesea familia zetu na wanapunguza uwepo wa fedha za kigeni ndani ya Tz.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
p
Jifunze kufupisha maelezo..... Unamchosha msomaji...
 
p
Jifunze kufupisha maelezo..... Unamchosha msomaji...
Hapi ndiyo nimefupisha.

Lini nilikuomba usome ninachoandika?

Nimekulazimisha wapi usome?

Ukiruka usisome ninachiandika utapungukiwa na nini?

Si lazima kunisoma.

Kwani nilikulazimisha kunisoma?

Unaweza kuniweka kwenye ignore list kabisa usione chochote ninachoandika, usichoke.

Utapungukiwa nini?

Kama unachoka kusoma post ya JF, utaweza kusoma Tolstoy's "War and Peace" ?

Fvck outta here.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe ww wanakusomaga kama maandishi..... Ila chunga wasikusome kwa ndani huko sababu mabeberu hawachekagi na mapopoma ka ww...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…