Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Yaweza kuonekana ni story ya kutunga na hata mie nilidhani nataniwa. Lakini ugumu wa maisha ya Mtanzania ulimfanya mtoto wa rafiki yangu around 12yrs aniulize "baba mkubwa mwaka huu Christmas ipo au imeahirishwa?
Mbona kila mtu yuko kimya na hamna hata maua?"
Ni kweli, wazazi wengi sasa hivi ni wanyonge kwa kushindwa kutimiza waliyokuwa wanatimiza kwa familia zao miaka ya nyuma. Lakini kwa wale waliokuwa tangu hapo kale ni mambo magumu tuu wanafuraha ya ajabu kuwa bora tuwe wote masikini, kwa kindengereko wanaita hali hiyo ni poverty mentality.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona kila mtu yuko kimya na hamna hata maua?"
Ni kweli, wazazi wengi sasa hivi ni wanyonge kwa kushindwa kutimiza waliyokuwa wanatimiza kwa familia zao miaka ya nyuma. Lakini kwa wale waliokuwa tangu hapo kale ni mambo magumu tuu wanafuraha ya ajabu kuwa bora tuwe wote masikini, kwa kindengereko wanaita hali hiyo ni poverty mentality.
Sent using Jamii Forums mobile app