melita calist
Member
- Jan 23, 2012
- 39
- 1
haya jamani,where to?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haya jamani,where to?
Wanasiasa wanawadanganya watu wa mtwara
wana mtwara jamani mnatupeleka wapi?
Hahahahaha ndo kazi iliyobakia kwa hawa polisi wetu,ila nadhani kuwalaumu pia sio sawa kwani waliapa kuilinda katiba ya tanzania na pia kutii amri za wakuu,so wako sawa kabisa nadhani sio sahihii kabisa kuwalaumu hawa watu
Taifa la Israel linaendelea kuwepo kwa sababu linalindwa na mmarekani, vinginevyo lingekuwa na hali ngumu mno.
Unacheza ww,hakuna mwny uwezo wa kulifuta taifa la israel,hyo ni kutoka kwa Mungu,ipo kwny maandiko
Ahaaaa. Kumbe matangazo ya TBC1 yamezimwa kwenye Satellite toka juzi kama sikosei ili Wanamtwara wasiweze kupata hotuba ya Wizara ya Nishati na madini? Maana nimepanda ngazi ili kurekebisha dish nikidhani limeyumba kumbe hapa, chaneli zingine zinaonekana kama kawaida tena kwa signal nzuri isipokuwa TBC1 hadi dakika hii naandika posti hii TBC1 bado haipatikani. Mimi niko Mbeya.
Nakumbuka vurugu hizo zilianza muda mfupi baada ya Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo kuwasilisha bajeti ya wizara yake bungeni.Kipindi hiko nilikuwa bado kijana mdogo mwanafunzi sikuwepo Mtwara kipindi hiko sikuwa na access ya kuzipata Habari vizuri nilikuwa nasikia sikia tu. naomba anayejua vizuri Hizo fujo za gas anisimulie zilianzaje zilidumu siku ngapi na madhila yaliyoachwa