Hali si shwari Bodi ya Mikopo (HESLB)

Hali si shwari Bodi ya Mikopo (HESLB)

Hivi unaweza kutana na wait for final result na usipate mkopo? Walisema kabla ya tarehe 3 imeshafika.
 
Vipi kuhusu continuous mbona board haiwazungumzii kabisa
Hope watapangiwa kuanzia leo maana walisema awamu yao inakuja baada ya kumalizana na first year ambao zoezi la allocation huwa ni gumu tofauti na continueos.

Kuna bajeti ya bilioni 731 mwaka huu wa masomo hadi sasa kiasi kilichotumika kwa first year ni kama 200 bilioni kwahiyo kuna zaidi ya 500 bilioni kwa ajili ya continueos, diploma pamoja na postgraduates.
 
Hope watapangiwa kuanzia leo maana walisema awamu yao inakuja baada ya kumalizana na first year ambao zoezi la allocation huwa ni gumu tofauti na continueos.

Kuna bajeti ya bilioni 731 mwaka huu wa masomo hadi sasa kiasi kilichotumika kwa first year ni kama 200 bilioni kwahiyo kuna zaidi ya 500 bilioni kwa ajili ya continueos, diploma pamoja na postgraduates.
Niliona tamko lao wamesema wamewapa mkopo wanafunzi wa Mwaka wa kwanza idadi yao ni 2158 kwa hii batch ya 3 sijaona sehemu waliosema Kati yao watakuwa continuous.Kama hivyo uliosema ni vizuri wakasema ni lini wanafanya hivyo
 
Jaman msaada mm nilianza chuo mwaka wa kwanza lakini sikufanikiwa kuendelea nilipostpone second semester lakini mwaka huu nilituma maombi bodi ya mikopo HESLB naomba kuuliza wanasema kwamba ili continue apewe mkopo lazima matokeo yake yatumwe HESLB je kwangu itakuwaje maana nilipostpone sikufanya exam msaada wa maelezo
 
Wakuu nisaidien kwa hili

najaribu kuappeal hp kuomba niongezew mkopo, Ila tatzo ni kila nikiupload picha yng ambayo niliiscan kwa app ya camscanner hpo awali then nikaiconvert online kuwa jpg kila nikiupload inakataa .
.je shida iko wapi
 
Wakuu nisaidien kwa hili

najaribu kuappeal hp kuomba niongezew mkopo, Ila tatzo ni kila nikiupload picha yng ambayo niliiscan kwa app ya camscanner hpo awali then nikaiconvert online kuwa jpg kila nikiupload inakataa .
.je shida iko wapi
Ipunguze size angalau iwe 200kb kuja chini inakubali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Continous tiyari wametoa
Screenshot_20231111-204428_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom