Hali si shwari Msimbazi!

Hali si shwari Msimbazi!

demigod

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2015
Posts
8,292
Reaction score
15,250
Kuna mpasuko mkubwa uliopo ndani ya simba hivi sasa. Kuna bomu kubwa sana linakuja kulipuka muda sio mrefu. Hiyo yote ni kwa ajili ya Boss kuuza wachezaji wawili na mpunga bado haujasomeka katika account ya klabu.

Wapo viongozi wenye hofu na wasiwasi kubwa sana juu ya biashara ya usajili ya msimu huu. Pia ndani humo humo wapo viongozi wanapingana mazima na uendeshaji wa klabu.

Ikumbukwe kuwa tangu Mo atangaze kuwa ameweka mpunga wa Bilioni 10, Akaunti ya klabu bado inasoma zero balance.
 
Mpasuko upo mda mrefu Ila MO anajaribu kuu funika kwa juu ana u upaka rangi Ila kwandani ufa unazidi kutanuka ni Jambo la Muda tu patafumuka na chawa wote
Mpasuko upo mda mrefu Ila MO anajaribu kuu funika kwa juu ana u upaka rangi Ila kwandani ufa unazidi kutanuka ni Jambo la Muda tu patafumuka na chawa wote wata toka mbio.
 
Kuna mpasuko mkubwa uliopo ndani ya simba hivi sasa. Kuna bomu kubwa sana linakuja kulipuka muda sio mrefu. Hiyo yote ni kwa ajili ya Boss kuuza wachezaji wawili na mpunga bado haujasomeka katika account ya klabu...
Hahahahahahaaaaa….
 
Subirini Mnyooshwe kipigo cha mbwa koko na Hao Ndombolo ya Sorro wenu kwenye Ngao ya Hisani ndio mtajua Mpasuko uko Utopoloni au kwa WanaLunyansi. Simba Nguvu Mojaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Back
Top Bottom