Mpasuko upo mda mrefu Ila MO anajaribu kuu funika kwa juu ana u upaka rangi Ila kwandani ufa unazidi kutanuka ni Jambo la Muda tu patafumuka na chawa wote
Mpasuko upo mda mrefu Ila MO anajaribu kuu funika kwa juu ana u upaka rangi Ila kwandani ufa unazidi kutanuka ni Jambo la Muda tu patafumuka na chawa wote wata toka mbio.
Tangu lini mbumbumbu wakawa na hili au lile! 😁😁😁 Bilioni 20 zenyewe mpaka leo kizungumkuti!!Kibaya zaidi mashabiki hawana hili wala lile. 😂 😂
[emoji3525][emoji3525]NI UZUNI KWAKWELI [emoji16][emoji16]Kibaya zaidi mashabiki hawana hili wala lile. [emoji23] [emoji23]
Utajili bila wizi na ujanja ujanja hutoboi.
MO ni mwizi sema anajificha kwa kigezo cha Kufadhili simba.
Ngoja tusubili..anaweza badilika
Hahahahahahaaaaa….Kuna mpasuko mkubwa uliopo ndani ya simba hivi sasa. Kuna bomu kubwa sana linakuja kulipuka muda sio mrefu. Hiyo yote ni kwa ajili ya Boss kuuza wachezaji wawili na mpunga bado haujasomeka katika account ya klabu...