Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,058
- 2,195
Wadau,hali imezidi kuwa mbaya hapa udsm leo baada ya ving'ora vya police kutawanya wanafunzi wanaosemekana eti walikua wamemteka ofisa usalama wa taifa na kumpa kichapo..lolote linaweza kutokea hapa as hakuna shughuli yoyote ya kitaaluma inayofanyika.over