Hali tete Simba, Percy Tau na Dieng warejea uwanjani

Utapata bawasiri bure kwa kuisakama Simba.
 
Kumbe hata maandishi yako huwaga huyasomi?

Hata kama unakopi na kupaste jitahidi kuwa unasoma zaidi ya mara moja uhakiki unachoposti
Ukiachana na uchambuzi...pia Mimi ni mhariri ..so sikoseagi
 

Simba wakupe usemaji. Haipiti masaa mawili umeipost. Yaani unaitangaza sana Simba kuliko team yetu ya Yanga.
 
Ukiachana na uchambuzi...pia Mimi ni mhariri ..so sikoseagi
Hata Ndumbaro akiachana na uwaziri wa sanaa na michezo ni mwanasheria asiyejua sheria 😁😁

Sikushangai na uhariri wako mtu mwenye akili kisoda,wahariri njaa mpo wengi bongo 😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…