Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuheshimiwa ni Mungu pekee, yeye sio mnafiki kama hao unaowaita viongoziHeshimu viongozi mkuu....
WEWE NAKUJUA YANGA MWENZANGU. SAFI SANA KILA MARA NAONA UNAWAPONDA MIKIA.Mimi sio shabiki wa Yanga .....wala simba
YANGA MWENZANGU TUSIKOSE KUWACHAPA MAMELODIAmna mkuu
Bado tu unaboronga, kuna Mungu na pia kuna mungu, ukiwa kama mhariri njaa huwezi tofautisha Mungu /mungu.Sometimes mungu hupitia Kwa wanadamu....
Ninayo ya kunitoshaTafuta pesa mkuu..
We mzee bora ufatilie rede tu,hujui kama ahly kafa mara mbili kwa mkapa?kagere na luis.we mak& kweli al ahaly umemfunga mara ngapi zaidi ya mechi moja??
Modesta na guede wana tofauti gani?Hawa makolo akili hawana ngoja Modesta aje ayakande Hadi yajinyee.
Unahs wana uzi wa njano basi??utasubiri sana ndege feri..watu tushanunua nyuzi dark blue mapeeema.Na kiswahili wamejifunza[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nasubiria mashabiki wa makolo wakizivaa hizo jezi za njano
Tunataka tuwafunge wakiwa wametimia. Kabisa mkuu niko naangalia kama jezi yangu ipo hapa kabatini Au huyu mama chanja kaificha
Mhh kweli wewe ni Muhariri. mungu/Mungu hebu angalia kosa lako hapo.Sometimes mungu hupitia Kwa wanadamu....
Hiyo ni kwa ajili yako tu.It seems una suffer na economic hardship