Kwa masikitiko makubwa naomba serikali iingilie kati suala la VIVUKO VYA KIGAMBONI kutokana na hali ya uchakavu iliyopo katika VIVUKO hivyo ili kunusuru majanga yanayoweza kutokea.
Tangu hii wiki ianze wananchi wamekuwa wakiteseka sana pale kwa foleni ndefu magari na mlundikano mkubwa kwenye zile sehemu za kukaa abiria kitu ambacho si salama kiafya lakini inaonekana hakuna hata mtu anaejali kuhusu hilo.
Leo jioni kumetokea sintofahamu kwenye Mv Kigamboni kuzima katikati ya maji na kulazimika kurudi Kivukoni na kushusha abiria.
Kinachosikitisha zaidi huwezi kukutana na habari hii kwenye chombo chochote cha habari nadhani wanasubiri taarifa za maafa ndio wazipe kipaumbele.
Kwa masikitiko makubwa naomba serikali iingilie kati suala la VIVUKO VYA KIGAMBONI kutokana na hali ya uchakavu iliyopo katika VIVUKO hivyo ili kunusuru majanga yanayoweza kutokea...
Kwa masikitiko makubwa naomba serikali iingilie kati suala la VIVUKO VYA KIGAMBONI kutokana na hali ya uchakavu iliyopo katika VIVUKO hivyo ili kunusuru majanga yanayoweza kutokea..
yani sio kidogo kama jana ilikuwa disaster inasikitisha serikali haiangalii hilo naona inasubiri mpaka madhara yatokee,Pantoni mbili Mv Magogoni na Kivukoni mbovu zimechakaa inaonekana maintanance hazifanywi,Mv Kazi imetoka matengenezo hivi karibuni lakini engine haziwashwi zote kwa hiyo na yenyewe itachoka mapema sana
Yani hapo kivukoni kuna askari wa SUMA- JKT, JWTZ, kuna wale hua wanaitana 'baharia' wapo wamejaa tele kuna wafanyakazi utitiri na wafanya kazi ni wengi kuliko abiria. Ila sasa angalia huduma inayo tolewa hapo ni masikitiko, naungana na wazungu kwakweli mtu mweusi ni nyani aliye toroka msituni.
yani sio kidogo kama jana ilikuwa disaster inasikitisha serikali haiangalii hilo naona inasubiri mpaka madhara yatokee,Pantoni mbili Mv Magogoni na Kivukoni mbovu zimechakaa inaonekana maintanance hazifanywi,Mv Kazi imetoka matengenezo hivi karibuni lakini engine haziwashwi zote kwa hiyo na yenyewe itachoka mapema sana
Kale kajamaa kanachohubiri kwenye Azam sea tax. Alisema kuna mtu kaona maono kuwa anaona ajali kwenye kivuko cha Pantoni kikizama... Wakati anasema hayo Mv kigamboni wamekwama pale
Tulikuwa kwenye sea tax ikapigwa na dhoruba ikaenda kujibamiza kwenye mv magogoni.
Wanakigamboni Mungu atulinde tu. But hali ni mbaya.
Kale kajamaa kanachohubiri kwenye Azam sea tax. Alisema kuna mtu kaona maono kuwa anaona ajali kwenye kivuko cha Pantoni kikizama... Wakati anasema hayo Mv kigamboni wamekwama pale
Tulikuwa kwenye sea tax ikapigwa na dhoruba ikaenda kujibamiza kwenye mv magogoni.
Wanakigamboni Mungu atulinde tu. But hali ni mbaya.
Kale kajamaa kanachohubiri kwenye Azam sea tax. Alisema kuna mtu kaona maono kuwa anaona ajali kwenye kivuko cha Pantoni kikizama... Wakati anasema hayo Mv kigamboni wamekwama pale
Tulikuwa kwenye sea tax ikapigwa na dhoruba ikaenda kujibamiza kwenye mv magogoni.
Wanakigamboni Mungu atulinde tu. But hali ni mbaya.
Mtu mweusi ni tatizo aisee. Hizi mwendokasi tu zingekuwa na utaratibu mzuri na ratiba inayoeleweka yaani ingekuwa game changer. Lakini sasa unakuta foleni ndefu hatari watu wamesimama mpaka wamechoka kusubiri; na kuna mabasi hata 10 yapo tu idle madereva wanapiga stori. Na hakuna anayejali. Hata sijui tatizo letu ni nini. Hata kama tumetokana na manyani this is just too much...Tutabadilika lini?
Kwa masikitiko makubwa naomba serikali iingilie kati suala la VIVUKO VYA KIGAMBONI kutokana na hali ya uchakavu iliyopo katika VIVUKO hivyo ili kunusuru majanga yanayoweza kutokea.
Tangu hii wiki ianze wananchi wamekuwa wakiteseka sana pale kwa foleni ndefu magari na mlundikano mkubwa kwenye zile sehemu za kukaa abiria kitu ambacho si salama kiafya lakini inaonekana hakuna hata mtu anaejali kuhusu hilo.
Leo jioni kumetokea sintofahamu kwenye Mv Kigamboni kuzima katikati ya maji na kulazimika kurudi Kivukoni na kushusha abiria.
Kinachosikitisha zaidi huwezi kukutana na habari hii kwenye chombo chochote cha habari nadhani wanasubiri taarifa za maafa ndio wazipe kipaumbele.