Hali tete vivuko vya Kigamboni

Hali tete vivuko vya Kigamboni

Lini hio kaka yule pastor wa sea taxi wa mchongo sana
Mimi siongei kwa ubaya ila tamesa wa kivukoni pamoja na Ncard wapuuzi kiwango cha TBS.
Just imagine wanaweka sehemu za kupunch card 10 but zinatumika 6 4 ZINAWEKWA DUSTIBINS ZAO , au wanasema samahani mfumo wa kulipia ncard unasumbua mnakaa siku kumi mfumo bado unasumbua.

Ukiachana ubovu wa pantoni na utaratibu wa kuvuka
 
Sehemu zote za kukaa dar unaenda kujenga kigamboni au mlidanganywa George Bush atawapa fidia atakapokuja kununua maeneo yenu si bora nikae zanzibar nifanye kazi dar ila dar watu wanateseka sana kila kitu ni shida

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom