Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu katika biashara usisikilize maneno ya watu kulaza Laki kwenye daladala ni kawaida sana nilishawahi kuwa konda kipindi nasubiria majibu yangu ya kidato cha Nne huko dodoma tulikuwa tunalaza mpaka laki na 80 boss anapewa yake 50 inabaki laki na 30Wakuu nataka kuhamishia gari yangu aina ya costa mkoa wa Lindi.
Je, biashara ya daladala inalipa huko?
Nimesikia kwa siku unalaza laki je ni kweli?
Naomba wakaazi wa Lindi wanipe ufafanuzi wa hili kabla ya kuihamishia gari yangu huko.
Asanteni wakuu.
Poa poa mkuunashukuru mkuu kwa ushauri mzuri