Kwa ñn usimalizie kama nchini Tanzania?Hakuna watu wanaoish maisha ya vitisho na manyanyaso kama wapinzani wa afrika.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio Africa tu ni duniani kote!
Ondoa uwongo wako hapa!
hahaha " kamgusia" mwenyekiti ".Ondoa uwongo wako hapa!
Mtu mzima ovyo kabisa
Hapo sasahahaha " kamgusia" mwenyekiti ".
Hahahahahaaaaaaaaa onisecha gete ngalu. Niyo omeja gete maana anajifanya hajui kile kinachopiganiwa na Bobi.Unauliza maswali ya kijinga!! Nan...tombe nokho nashike aha!!
Wapigania Uhuru huko waliko watakuwa wanajuta sana Kwa haya ya kuwaondoa wakoloni weupe ili waafrica wawe huru,matokeo yake wamekalia wakoloni weusi kumtesa mwafrica mwenzake.
Gashinaga nang'ho kanali mstaafu ulimunhu?Hahahahahaaaaaaaaa onisecha gete ngalu. Niyo omeja gete maana anajifanya hajui kile kinachopiganiwa na Bobi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Niyo gete. Gashi ukanilolaga bo kugengemela wibuja nali lijogoli?Gashinaga nang'ho kanali mstaafu ulimunhu?
someone from Europe aliita afrika "DARK CONTINENT"Afrika kugumu sana