uuuwii huyu jamaa karudia ngada nini? masikini weeeeeee
chid baiskeli ktk udhaifu wake.uuuwii huyu jamaa karudia ngada nini? masikini weeeeeee
Yaani hawa watu sijui huwa wakoje!!! Wamesha athirika na vyama, kama alivyo athirika chid, "pole chid Allah atakupa shifaah"Mnaleta tena mambo ya ccm na ukawa mpaka huku.
HAHAAA HAAHAAAA,......... MPE POLE KWANZAKaimba Nini Kwanza...
Ni nani aliyemtoa chid??Alikaa rehab miezi michache sana wakakimbilia kumtoa eti kashapona (hao kina Tale). Sijui kulikuwa na nia ya dhati ya Chidi kupona au ilikuwa kujizolea umaarufu! Hata Ray C itakuwa hivi hivi siku za karibuni. Wanakaa miezi mitatu rehab halafu wanatoka. Matokeo yake hawaponi vizuri. Kuyakabili mazingira halisi kwa hawa watu ni ngumu sana.
Labda dunia ipinduke!Asee hivi hiyo kitu kuna mwenye amewahi kupona kweli??? Akarudi kama zamani