Hali ya Corona Kenya ni mbaya mbaya mbaya mbaya

[emoji23] [emoji23] [emoji23] Wataweza wapi mkuu?
Kipaumbele chao ni kuongea kingereza,
 
Vile vikao vyao walivyo kuwa wanazifanya huku wakikejeli Tanzania vimesaidia nini so far au vilikuwa vya kushahuriana kukopa!

Hongera JPM kwa kupuuza vile vikao vyao na kukataa kupokea simu zao.
Sasa kuna watanzania kadhaa wapo humu jf walikuwa wameungana na Wakenya kumkejeli Magu nimewahifadhi ID zao
 
Hili sio la kufurahia au kushangilia matatizo yanaweza mfika yeyote popote bila kujali. Poleni majirani.
Hapana! Ungeowaona Wakenya walivyokuwa wanamtukana Magufuli ungetamani ukawapige wote risasi!
 
Sasa kuna watanzania kadhaa wapo humu jf walikuwa wameungana na Wakenya kumkejeli Magu nimewahifadhi ID zao
Wengine walikuwa wanalazimisha serikali iweke lockdown na kufungia watu ndani lakini cha kushangaza sasa hivi wanafanya mikutano yao ya ndani wanajazana halafu hakuna social distance wala kuvaa barakoa.
 
JPM aliona hawa wadau ni vilaza kupitiliza akaona hata akiwaelimisha hawataelewa akawaacha waogelee katika upumbavu wao
Vile vikao vyao walivyo kuwa wanazifanya huku wakikejeli Tanzania vimesaidia nini so far au vilikuwa vya kushahuriana kukopa!

Hongera JPM kwa kupuuza vile vikao vyao na kukataa kupokea simu zao.
 
Kinachofanya kenya wawe na hali hiyo ni uoga, hakuna corona Kenya, wakenya acheni uoga.
 
Uzi huu MK254 anapiga kimya kimya tu utafikiri hayupo, lakini amejaa tele hapa. Nafasi ya 8 kwa Corona hapa Africa inashikiliwa na Kenya!!. Walimkejeli Mungu wetu, wakamkejeli rais wetu, na kiburi hakiwapi nafasi ya kuomba msamaha!! too bad!
 
Uzi huu MK254 anapiga kimya kimya tu utafikiri hayupo, lakini amejaa tele hapa. Nafasi ya 8 kwa Corona hapa Africa inashikiliwa na Kenya!!. Walimkejeli Mungu wetu, wakamkejeli rais wetu, na kiburi hakiwapi nafasi ya kuomba msamaha!! too bad!!!
Kirusi kinawakung'uta barabara
 
Kirusi kinawakung'uta barabara


Na nyie Watz muwe na roho ya utu, roho ya huruma, hii ni nafasi yetu kuwaombea hao Wakenya ili Wajue kwamba Mungu yupo na anayo nguvu.
 
Wazee wa kingereza wamechakazwa na corona. Mkenya anaamini kujua kingereza ndio kufaulu maisha ,hawajui kama ndiyo chanzo cha kuendeleza ukoloni mamboleo.

Shida mgunduzi.
 
really?

hivi Kenya wamepoteza prominent persons wangapi kwa COVID-19?
hii ndiyo litmus test ya athari halisi kwenye wider community.

tufanye comparison kwenye EAC Block nani na nani tumewapoteza kwa kila nchi.

TZ:
1 former HoS
1 Minister
2 members of parliament

KE:
no person of significant prominence

UG:
no death

Rwanda:
no person of significant prominence

Burundi:
1 former HoS
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…