Hali ya foleni ikoje na hizi mvua, naelekea Mbweni nikitokea Posta!

Hali ya foleni ikoje na hizi mvua, naelekea Mbweni nikitokea Posta!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kwa wale ambao mko barabarani muda huu tupeane taarifa ya hali ya foleni tusije kulala barabarani kama juzi.

Naomba hali ya barabarani hasa Bagamoyo road na ile Mwai Kibaki hadi kunduchi mtongani.

Ahsanteni in advance.

Maendeleo hayana vyama!
 
Kwa wale ambao mko barabarani muda huu tupeane taarifa ya hali ya foleni tusije kulala barabarani kama juzi.

Naomba hali ya barabarani hasa Bagamoyo road na ile Mwai Kibaki hadi kunduchi mtongani.

Ahsanteni in advance.

Maendeleo hayana vyama!
Niltee Gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Niletee Gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Niletee Gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Tuendako siyo kuzuri mu kichwa!
 
Niltee Gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Niletee Gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Niletee Gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Tuendako siyo kuzuri mu kichwa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] gwajimaaaaaaaaaaaaaaaa umempa nini mzee baba? Sio kwa hisia zile
 
Kwa wale ambao mko barabarani muda huu tupeane taarifa ya hali ya foleni tusije kulala barabarani kama juzi.

Naomba hali ya barabarani hasa Bagamoyo road na ile Mwai Kibaki hadi kunduchi mtongani.

Ahsanteni in advance.

Maendeleo hayana vyama!
Jo post hii itakuwa ya maumivu mengi kwako lakini itabidi ujifunze kuwa kuna maisha nje ya siasa zako za majnuni
 
Kwa wale ambao mko barabarani muda huu tupeane taarifa ya hali ya foleni tusije kulala barabarani kama juzi.

Naomba hali ya barabarani hasa Bagamoyo road na ile Mwai Kibaki hadi kunduchi mtongani.

Ahsanteni in advance.

Maendeleo hayana vyama!
Mpigie chakubanga akupe updates.

Cha muhimu tafta majimbo yenye viongozi wa sisiem upitie njia hizo maana ukijiloga ukapita njia zenye majimbo yenye viongozi wa upinzani utakutana na mafuriko na miundombinu mibaya.
 
Usijaribu kupita muda utafika kesho tafuta mchepuko ujifungie nae hapo ulipo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] gwajimaaaaaaaaaaaaaaaa umempa nini mzee baba? Sio kwa hisia zile
Atakuwa anampa darasa la kukata lile uno si mchezo. Upate na mwanamke mweupeeeeeeeeee hahahahhah
 
Back
Top Bottom