Hali ya foleni ikoje na hizi mvua, naelekea Mbweni nikitokea Posta!

Hali ya foleni ikoje na hizi mvua, naelekea Mbweni nikitokea Posta!

Kwa wale ambao mko barabarani muda huu tupeane taarifa ya hali ya foleni tusije kulala barabarani kama juzi.

Naomba hali ya barabarani hasa Bagamoyo road na ile Mwai Kibaki hadi kunduchi mtongani.

Ahsanteni in advance.

Maendeleo hayana vyama!
Waulize mamlaka ya Hali ya hewa au hauna namba zao

Ova
 

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 


Alphabetical order!
Kuna mtu hataki kazi visiwani
 
Mpigie chakubanga akupe updates.

Cha muhimu tafta majimbo yenye viongozi wa sisiem upitie njia hizo maana ukijiloga ukapita njia zenye majimbo yenye viongozi wa upinzani utakutana na mafuriko na miundombinu mibaya.
Akitoka posta aje mpaka tazara bridge, apitilize mpaka Gongo la Mboto kwa yule mbunge limbukeni wa beer aliyehama kutoka huku kwetu. Then aende mpaka Kisarawe halafu aitafute Kibaha kwa mbunge wa fisiemu aunganishe mpaka Mapinga ndio arudi anakoishi.
 
Akitoka posta aje mpaka tazara bridge, apitilize mpaka Gongo la Mboto kwa yule mbunge limbukeni wa beer aliyehama kutoka huku kwetu. Then aende mpaka Kisarawe halafu aitafute Kibaha kwa mbunge wa fisiemu aunganishe mpaka Mapinga ndio arudi anakoishi.
johnthebaptist itinerary yako hii
 
Kwa wale ambao mko barabarani muda huu tupeane taarifa ya hali ya foleni tusije kulala barabarani kama juzi.

Naomba hali ya barabarani hasa Bagamoyo road na ile Mwai Kibaki hadi kunduchi mtongani.

Ahsanteni in advance.

Maendeleo hayana vyama!
Dah mkuu tumeshajua unamiliki gari. Unaanza mbaaaaaliiii.

Kamoooonn
 
Mpigie chakubanga akupe updates.

Cha muhimu tafta majimbo yenye viongozi wa sisiem upitie njia hizo maana ukijiloga ukapita njia zenye majimbo yenye viongozi wa upinzani utakutana na mafuriko na miundombinu mibaya.
Chakubanga ana orodhesha maflaiova wanayoplan kuyajenga..Dar nzima mpaka Kisemvule!😀

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Chakubanga ana orodhesha maflaiova wanayoplan kuyajenga..Dar nzima mpaka Kisemvule!😀

Everyday is Saturday............................... 😎
Kesho watatuambia wskishinda huu uchaguzi weekend itaanza alhamisi na jumaatatu itakua nusu siku. Yaani tutaingia kazini saa tano baada ya hangover kuisha.
 
Back
Top Bottom