Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Sio mbaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu eti kuna mdada kapenda saa, Sasa kila nikijaribu kuitafuta hiyo saa inayopendwa mi sioni kabisa,naona mkanda wa saa tu! Kuna Mtu naona anasetiwa ndani ya 18 aingie! Wanawake siku hizi wanaupiga mwingi kwenye kila nyanja!!Saa haijaonekana, umeonekana mkanda wa saa
Watachanana[emoji31][emoji2][emoji28][emoji28][emoji28]
Ila nimeona chanuo huenda wakimaliza bapa watachanana
Nyuma ya stand pale[emoji3]Nadhani kama sio karibu na kwa Cham dukani ni maeneo ya stand hapo[emoji23]
Bia na pipi vina afadhaliKonyagi na biscuit tena Duuh
Duh! Masai kaacha kulinda tena!? Naona kaamua kuchukuwa kazi ya Mangi ya kuuza Du. Kaaa,,,,,,!!Duka la masai unapata kila kitu mzee
Ova
Anapunguza makaliKonyagi na biscuit tena Duuh
Tatizo Lao Ni 1 tu, matumizi ya zile Chupa za soda.Alafu eti kuna mdada kapenda saa, Sasa kila nikijaribu kuitafuta hiyo saa inayopendwa mi sioni kabisa,naona mkanda wa saa tu! Kuna Mtu naona anasetiwa ndani ya 18 aingie! Wanawake siku hizi wanaupiga mwingi kwenye kila nyanja!!
Yaa yaani watapeana zam kupigana chanaWatachanana[emoji31][emoji2]