Unatakiwa uwe na bby wako mnacuddle tuu hapo hadi raha before u know it nyoka kashazama pangoniSio kweli bwana
Wicked mate! Sii unipe location nije tumalizie wikend vizurinina mademu wawili hapa nipo nao wanataka group sex π π π
Kwahiyo Hawa jamaa wa TMA wanatuzingua tu π€£π€£Etymologically:
Kutabiri: ni hali ya kuliona jambo fulani na ukawa na uhakika nalo japo kwa 80% accuracy rate.
Kuotea: It's all about something that might happen or might not.
Wazinzi maarufuπππHivi hawa wakina mzabizabi wana nini eti mbona kila mada wanatajwa?
Sio hili tulilokopa fedha World Bank kwaajili ya uendeshaji wa Bandari alafu ndo hivyo tena DP World.......π·πKuna kubwa kuliko DP World lajaa... π π π muanze jiandaa kisaikolojiaa tu
π π π njoo hapa park view kigogo mwanawane ...Wicked mate! Sii unipe location nije tumalizie wikend vizuri
Jamani asubuh kulikua jua. Ila huwezi amin ilipofika sa 8 wingu zito mara mvua hii hapa.
Hata TMA hawajatupa tahadhari kuna kiubaridi haswaa. Jamani vaeni masweta na miguun tupia tusoksi mana tiles zinatia ubarid.
Koroga kahawa au chai ya tangawizi kaa nayo pembeni kama una mzgo wa series huu ndo muda ss.
Usiwe kama Equation x angeshatafuta pisi ya kuzagamua au mzabzab anawaza kuita watoto wa watu.
Saa zingine kuspend time alone kuna karaha kake. Mi nipo na series ya Citadel hapa karibuni[emoji8]
Umeona uwauweπππKwa wale ambao humuwajui wanaume wa dar!
ndo hao sasa
Bwana usiniharibie mwenzio badoDaah iyo movie imenikwaza sana ilivyoishaishaaa sijapenda kabisaa
Bwana usiniharibie mwenzio bado
Ngoja na mm hasira zinipande shogaMbaya[emoji23][emoji23]
Yaani nilikuwa na usongo nayo kila ijumaa ilikuwa inatoka naipakua ila ilivyoishaa wapuuzi et next Citadel 2024 umbwa hao
Ngoja na mm hasira zinipande shoga
Njoo home nina udesa mpya wa CFA wa hatari, ukisoma huo lazima utoboeYaani hata mlango sijafungua kabisa ni movies na kuzungukia fridge kupasha viporo na kulaππ
Mkuu kuja kuufata home ndiyo tatizo nisije rudi na desa na mapachaππNjoo home nina udesa mpya wa CFA wa hatari, ukisoma huo lazima utoboe
Basi mie nije kwako πππMkuu kuja kuufata home ndiyo tatizo nisije rudi na desa na mapachaππ
Uliza watu wa Makete baridi ipo nyuzi 2. Nyie kidogo tu mnawalalamikia TMA.Watu wa dar bwana, hili suala nalo ni la kulaumu TMA? Mnataka kila muda mpewe uangalizi kama vifaranga vya bata vyenye masundosundo
Hahaa hata kwangu unaweza ukaniachia mapacha weweBasi mie nije kwako πππ
πππ tukutane basi hata hotelin.. pasio kwako wala kwanguu.. unachukua huku umesimama mlangoni.. na kusepaHahaa hata kwangu unaweza ukaniachia mapacha wewe