Pre GE2025 Hali ya internet ikoje maeneo ulipo? Unaweza kuperuzi kwenye mitandao ya kijamii bila shida?

Pre GE2025 Hali ya internet ikoje maeneo ulipo? Unaweza kuperuzi kwenye mitandao ya kijamii bila shida?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu salam,

Hivi karibuni internet imekuwa changamoto kweli, wakati mwingine unakuwa huwezi kufanya chochote zaidi ya kucheza game. Kadri siku zinavyoenda hali inazidi kuwa mbaya

Na hii ni kwenye mitandao yote, unataka kununua umeme unaambiwa mtandao unasumbua, una ka intavyuu ka mtandaoni siku hiyo internet hakuna, wakati mwingine huwezi kutumia baadhi ya sites mpaka utumie VPN.

Wakati huu ambao mambo mengi yanaishia kufanyika mtandaoni inakuwa kero na vitu vinakwamba.

Voda waliahidi huduma zao kurejea vizuri katikati ya November, mmeona mabadiliko yote? Juzi tu hapa Mpesa iligoma siku nzima, imagine ndio una dharura!

Vipi upande wako, hali ikoje?
 
Wakuu salam,

Hivi karibuni internet imekuwa changamoto kweli, wakati mwingine unakuwa huwezi kufanya chochote zaidi ya kucheza game. Kadri siku zinavyoenda hali inazidi kuwa mbaya

Na hii ni kwenye mitandao yote, unataka kununua umeme unaambiwa mtandao unasumbua, una ka intavyuu ka mtandaoni siku hiyo internet hakuna, wakati mwingine huwezi kutumia baadhi ya sites mpaka utumie VPN.

Wakati huu ambao mambo mengi yanaishia kufanyika mtandaoni inakuwa kero na vitu vinakwamba.

Voda waliahidi huduma zao kurejea vizuri katikati ya November, mmeona mabadiliko yote? Juzi tu hapa Mpesa iligoma siku nzima, imagine ndio una dharura!

Vipi upande wako, hali ikoje?
Mimi natumia fiber ya tigo yani since last week imekuwa shida.... ina upload speed kubwa ya over 30mbs lakini download speed inachechemea sana kiasi kwamba wakati mwingine kupakua pages ni shida.
 
Wakuu salam,

Hivi karibuni internet imekuwa changamoto kweli, wakati mwingine unakuwa huwezi kufanya chochote zaidi ya kucheza game. Kadri siku zinavyoenda hali inazidi kuwa mbaya

Na hii ni kwenye mitandao yote, unataka kununua umeme unaambiwa mtandao unasumbua, una ka intavyuu ka mtandaoni siku hiyo internet hakuna, wakati mwingine huwezi kutumia baadhi ya sites mpaka utumie VPN.

Wakati huu ambao mambo mengi yanaishia kufanyika mtandaoni inakuwa kero na vitu vinakwamba.

Voda waliahidi huduma zao kurejea vizuri katikati ya November, mmeona mabadiliko yote? Juzi tu hapa Mpesa iligoma siku nzima, imagine ndio una dharura!

Vipi upande wako, hali ikoje?
Vpn ngani nzuri kwa matumizi
 
Mimi natumia fiber ya tigo yani since last week imekuwa shida.... ina upload speed kubwa ya over 30mbs lakini download speed inachechemea sana kiasi kwamba wakati mwingine kupakua pages ni shida.
Mie natumia rooter ya halotel ipo vzr.
Na hata nikiunga data kwa tigo pesa mnara mara nyingi unasoma 5G
No shida at all
 
Wakuu salam,

Hivi karibuni internet imekuwa changamoto kweli, wakati mwingine unakuwa huwezi kufanya chochote zaidi ya kucheza game. Kadri siku zinavyoenda hali inazidi kuwa mbaya

Na hii ni kwenye mitandao yote, unataka kununua umeme unaambiwa mtandao unasumbua, una ka intavyuu ka mtandaoni siku hiyo internet hakuna, wakati mwingine huwezi kutumia baadhi ya sites mpaka utumie VPN.

Wakati huu ambao mambo mengi yanaishia kufanyika mtandaoni inakuwa kero na vitu vinakwamba.

Voda waliahidi huduma zao kurejea vizuri katikati ya November, mmeona mabadiliko yote? Juzi tu hapa Mpesa iligoma siku nzima, imagine ndio una dharura!

Vipi upande wako, hali ikoje?
Kwa kweli hali ni mbaya sana kwenye internet inakwaza na kutia hasira,:Aware: tena kwa usiku internet inasumbuwa kinomaa. Na makampuni kama Vodacom sababu kila siku zilezile za kijinga 🙄🙄:DiscoFox:
 
Mtandao umekuwa changamoto kubwa sana, kama kwangu Voda, Tigo na Airtel imekuwa shida kubwa kuingia Jukwaani na Telegram.

Nalazimika kuzima na kuwasha VPN Ili kupata huduma
 
Unlimited elfu 50
Hapo ping sijafaham
unaweza kwenda speed test ukanitumia screenshot baada ya kuclick kwenye go mkuu. Nataka nione ping maana kazi zangu zinahusisha calls so ping nahitaji iwe ya chini
 
Back
Top Bottom