Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii hapa Mkuu 1.1.1.1 + WARP: Safer Internet - Apps on Google Play / 1.1.1.1 — The free app that makes your Internet faster.Vpn ngani nzuri kwa matumizi
Kwahiyo huyo mbwa mwishoni ndio anabubujikwa na machozi kwa uchungu kama Lucas Mwashambwa?Kwa kweli hali ni mbaya sana kwenye internet inakwaza na kutia hasira,tena kwa usiku internet inasumbuwa kinomaa. Na makampuni kama Vodacom sababu kila siku zilezile za kijinga 🙄🙄
![]()

... Pole sana Mkuu, Vodacom Tanzania mnatuangusha wateja wenu, Mkuu Mkalukungone mwamba watag kabisa uwaambie na maeneo ambayo net ni kisangaPole sana Mkuu, Vodacom Tanzania mnatububujisha kwa vilio vya uchungu. Mkuu Suley2019 ni maeneo gani hayo Vodacom Tanzania waibuke huko?Mtandao umekuwa changamoto kubwa sana, kama kwangu Voda, Tigo na Airtel imekuwa shida kubwa kuingia Jukwaani na Telegram.
Nalazimika kuzima na kuwasha VPN Ili kupata huduma
Telegram kufanyaje??😵Mtandao umekuwa changamoto kubwa sana, kama kwangu Voda, Tigo na Airtel imekuwa shida kubwa kuingia Jukwaani na Telegram.
Nalazimika kuzima na kuwasha VPN Ili kupata huduma
usjali mkuu uchaguzi wa serikali za mtaa ukiisha mambo yakua poa kama mwanzo,,then uchaguzi mkuu mambo takuwa zaidi ya haya!!!''''''''wapinzani wanabanwa wasiwasiline kirahisi!!!!,,,,,,wee unafanya mchezo nini!Wakuu salam,
Hivi karibuni internet imekuwa changamoto kweli, wakati mwingine unakuwa huwezi kufanya chochote zaidi ya kucheza game. Kadri siku zinavyoenda hali inazidi kuwa mbaya
Na hii ni kwenye mitandao yote, unataka kununua umeme unaambiwa mtandao unasumbua, una ka intavyuu ka mtandaoni siku hiyo internet hakuna, wakati mwingine huwezi kutumia baadhi ya sites mpaka utumie VPN.
Wakati huu ambao mambo mengi yanaishia kufanyika mtandaoni inakuwa kero na vitu vinakwamba.
Voda waliahidi huduma zao kurejea vizuri katikati ya November, mmeona mabadiliko yote? Juzi tu hapa Mpesa iligoma siku nzima, imagine ndio una dharura!
Vipi upande wako, hali ikoje?
Matengenezo ambayo hayaishi Mkuu.... nimesikia sehemu Vodacom Tanzania wanafanya makusudi kuminywa mtandao telegram, mje mtujibu uzuri mpo humu Vodacom TanzaniaItakuwa Kuna Matengenezo Mahali
Kupata habari na taarifa mbalimbali kama ilivyokuwa mitandao mingine ila huku hakuna mbambamba zile zinazotokea watsap na insta kuzimwa au kutopatikana mara kwa mara, unaweza kuchat na mtu bila kukeep convo (ukaweka muda wa kupotea na mtu hana uwezo wa kuchukua risiti, etc) unadhani kwanini Gen Z Kenya walikuwa wanaitumia sana kipindi cha maandamano?Telegram kufanyaje??😵
Duh hii web mapicha picha hata sielewi.download nirushie kwa star link
Ila leo kuanzia saa 11 mpaka 12, Tigo ilikuwa taabani ki- internet.
Hakuna tigo mkuu ni YasIla leo kuanzia saa 11 mpaka 12, Tigo ilikuwa taabani ki- internet.