RICH GANG LIFESTYLE
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 256
- 192
Habari za jioni wadau
Mimi ni mfanyabiashara wa kati hapa dar
in short wote tunafahamu jiji la dar liko vizuri kibiashara kwasbb ya uwepo wa ofisi kuu za serikali hapa moja ya point inayochangia kunifaisha jiji kibiashara
Swali langu ni kwamba endapo hizi ofisi za serikali zikihamia Dodoma je jiji letu la dar litaathirika kibiashara? Au litaendelea kuwa stable?
Mimi ni mfanyabiashara wa kati hapa dar
in short wote tunafahamu jiji la dar liko vizuri kibiashara kwasbb ya uwepo wa ofisi kuu za serikali hapa moja ya point inayochangia kunifaisha jiji kibiashara
Swali langu ni kwamba endapo hizi ofisi za serikali zikihamia Dodoma je jiji letu la dar litaathirika kibiashara? Au litaendelea kuwa stable?