Hali ya kichefu chefu kwa mjamzito

cobra poison

Member
Joined
Sep 14, 2016
Posts
32
Reaction score
12
Wanajukwaa habari za mchana kuna shida kidogo hivi ni njia gani za kufuata kuondoa tatizo la kichefuchefu kwa mjamzito hasa ktk early stage ya mimba?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miezi mitatu ya kwanza body ina dictate foreign body hivyo immune system ina react na anacholula mara nyingi anatapika. Baada ya first trimester kila kitu kinarudi kuwa sawa.
 
Trimister ni ile miezi mitatu ya mwanzo,ila hiyo ina mambo mawili inaanza kuisha kwenye wk20 na wengine huwa mpaka miezi 9 so kuwa mvumilivu kaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…