Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
Let say somebody you know interiorly has fallen into the bad land (Being burried), baada ya mazishi na maziko, huna hili wala lile umechil, hujavuta bangi, hujanywa pombe, huna stress za ziada ukitoa maziko, unashangaa mwanga huoooo, unaskia sauti "Shiuuuuu", kuangaza kwa umakini huyoooooo!
Anakutokea akiwa amevaa mavazi meupe peee aina ya kaunda suti ama kanzu, ama yale ya kinaijeria akiwa anakulilia na kukwambia "fulani ndiye aliyepelekea kifo changu" au "kuna 1m ipo ndani, chini ya debe la unga wa mtama, kachukue ukafanyie maisha". Au kuna ile situation ya mnasafirisha maiti kuipeleka usukumani, gari linagoma kuwaka, ila mkielekezea njia ya kwenda Sinza linawaka
Kupitia hili still hamuamini kuwa kuna maisha baada ya kifo? Japo sijawahi kutokewa na mzimu but huwa nasikia kwa watu tu ukiachia mbali bongo movie!
Naombeni kuwasilisha hoja
Anakutokea akiwa amevaa mavazi meupe peee aina ya kaunda suti ama kanzu, ama yale ya kinaijeria akiwa anakulilia na kukwambia "fulani ndiye aliyepelekea kifo changu" au "kuna 1m ipo ndani, chini ya debe la unga wa mtama, kachukue ukafanyie maisha". Au kuna ile situation ya mnasafirisha maiti kuipeleka usukumani, gari linagoma kuwaka, ila mkielekezea njia ya kwenda Sinza linawaka
Kupitia hili still hamuamini kuwa kuna maisha baada ya kifo? Japo sijawahi kutokewa na mzimu but huwa nasikia kwa watu tu ukiachia mbali bongo movie!
Naombeni kuwasilisha hoja