Hali ya kutokewa na mizimu inadhihirisha wazi kuwa kuna maisha baada ya kifo

Hali ya kutokewa na mizimu inadhihirisha wazi kuwa kuna maisha baada ya kifo

Pole sana.

Huo umri wewe mzee. Kama umeshazeeka ukiamini ushirikina, hakuna mtu anaweza kukuelekeza tofauti.

Ninasikitika sana maana utaenda kuondoka duniani ukiamini vitu ambavyo havipo, pole sana.
Si muda mrefu mambo yatakuwa wazi kwako. Hapana kimbia.
 
Mizimu ipo na nguvu yao ipo. Jiulize kwanini wazungu walirudisha jino la chief Mkwawa miaka ya juzi tu hapa! Ni bàada ya kuandamwa na mzimu wake kwa muda mrefu. Stori hii ipo TBC ikisimuliwa na kitukuu wa Mkwawa mwenyewe
 
Mizimu ipo na nguvu yao ipo. Jiulize kwanini wazungu walirudisha jino la chief Mkwawa miaka ya juzi tu hapa! Ni bàada ya kuandamwa na mzimu wake kwa muda mrefu. Stori hii ipo TBC ikisimuliwa na kitukuu wa Mkwawa mwenyewe
NI kweli mizimu ipo, ambayo maana ya mizimu ni majini yaliyovaa sura za marehemu yaliyoigiza au kuvaa sura za marehemu ,yakiwadanganya watu kuwa yamepewa maagizo na marehemu au yakijinasabisha na marehemu ilibyapate kuaminika na ndugu na jamaa wa marehemu kwa lengo la kuwatawala na kuwatumikisha wana ukoo.Na kuna makabila mengi yanatawaliwa na ibada za mizimu ikiwemo kabila moja ambalo ni maarufu kila mwisho wa mwaka kwenda kutambikia mizimu ya kwao .
NGUVU-Ni kweli majini hayo yana nguvu,zinazoitwa nguvu za giza kutoka ufalme wa kuzimu kama jina lake,ufalme wa nguvu za giza na shetani .
Kazi yao kubwa.--ni kuwatawala kuwatumikisha ,kufuatilia vizazi vyao na kuleta uharibifu,roho ya uharibifu,na kijichukulia kafara kutoka kwa wanaukoo na kujichukulia sadaka na utukufu kuabudiwa.Shetani na wafuasi wake majini au mizimu ni waongo wanadanganya watu kuwa inawasaidia inawalinda ili iabudiwe.
Lakini kiuhalisia ufalme wa giza hauna urafiki mwema au urafiki wa faida kwa mawanadamu kazi yao ni kuiba,kuchinja kuua kutesa,kudanganya,kufunga,na maasi.Hata mafanikio yatokanayo na haya majini ni ya muda mfupi ni ya masharti magumu.
 
Back
Top Bottom