mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Media nazo zimelala walichokua wanakifanya 1990s ndio hichohicho wanafanya na kutegemea wapate faida ileile ya miaka hiyo bila kujali mabadiliko ya soko kiuchumi, kijamii, Teknolojia n.kOkay..kwahiyo media zinazocheza WCB contents ndo zinazoongoza kwa revenues?
Content ni muziki na umbea tu?..Kwahiyo ITV ikae siku nzima kumuongelea mama dangote?
Wajiongeze buana