Hali ya kwenye media (TV) ni tete

Okay..kwahiyo media zinazocheza WCB contents ndo zinazoongoza kwa revenues?

Content ni muziki na umbea tu?..Kwahiyo ITV ikae siku nzima kumuongelea mama dangote?
Media nazo zimelala walichokua wanakifanya 1990s ndio hichohicho wanafanya na kutegemea wapate faida ileile ya miaka hiyo bila kujali mabadiliko ya soko kiuchumi, kijamii, Teknolojia n.k

Wajiongeze buana
 
Taarifa zote zinaanzia JF, hao wenye local TVs wanafanya marejeo tu bila cha ziada.... local channels ni utopolo mtupu.
 
Na bado !
 
Itv ndio usiseme mishahara ni taabu kwelikweli
 
Media zijikite kwenye habari za umbea
Mf-huyu kamfumania yule,esma kasema kile
Etc na habari waweke ukurasa wa mbele kama tv iwe habari ya kwanza

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Wananchi zaidi ya 84% wanaipenda na kuielewa serikali yao, na wanatamani kupata vitu vinavyowajenga kama mipango ya serikali inavyoelekeza
Kwa hiyo ondoa shaka, hapawezi kuwa ugomvi wa taabu kwa serikali wala umma wa watanzania
Wananchi wamemuacha rais wao asiwe wa kwanza ,akapitwa na Nana.
 
Kipindi cha ufisadi nchi ilichangamka kila kona, bungeni, Ikulu, Uraiani na kwenye Media
 
Nani ataangalia tv ambazo zimebanwa na kuishia kusifu na kumuabudu mtu mmoja?
Nani mwenye akili timamu atafungua channel ten ili kumtizama Humphrey Polepole?
 
Social networks siku hizi ndio kila kitu.
Wamiliki wa tv wafanye utafiti na kuwaletea watanzania vitu ambavyo wanavihitaji kwa sasa
Social networks hazizuiliki lakini pia hazijakuwa threat kwao ila tatizo dunia amebadilika wao wamelala
 
Wamiliki wa tv wafanye utafiti na kuwaletea watanzania vitu ambavyo wanavihitaji kwa sasa
Social networks hazizuiliki lakini pia hazijakuwa threat kwao ila tatizo dunia amebadilika wao wamelala
Hilo ni kweli TV zimekosa ubunifu,wabuni vipindi vitakavyo wafanya watu watizame TV.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…