Media nazo zimelala walichokua wanakifanya 1990s ndio hichohicho wanafanya na kutegemea wapate faida ileile ya miaka hiyo bila kujali mabadiliko ya soko kiuchumi, kijamii, Teknolojia n.kOkay..kwahiyo media zinazocheza WCB contents ndo zinazoongoza kwa revenues?
Content ni muziki na umbea tu?..Kwahiyo ITV ikae siku nzima kumuongelea mama dangote?
Na bado !Nilikuwa jana na jamaa mmoja ambaye ni mtangazaji wa kituo kikubwa cha TV bongo ananimbia hali ya kifedha ya media nyingi haswa Tv ni tete,hapo sisemei magazeti ukiondoa yale ya michezo maana yana afadhali.
Anasema afadhali radio bado sponsors wako wengi haswa vipindi vya michezo na vile vyenye contents za uswahilini kama uhondo au leo tena.
Sababu kubwa ni mvuto wa tv kupungua kutokana na social media na kubanwa vitu vya kuandika na kusema haswa vya kisiasa,pia michezo haswa mpira wa miguu imekuwa na nguvu sana kwa hiyo vipindi vya michezo bado havikosi sponsors haswa vya redio maana gharama za kutangaza ni ndogo kuliko tv na wengi wanasikiliza.
Tuliwaambia, uchaguzi ukiisha ninyi watu wa TV mtaenda kula mliko peleka mbogaWaendelee tu na upuuzi wao wa kumtanfaxa huyo anayejiita mwendawazimu, namba ni lazima WAISOME TU! Mama.e
duuuuItv ndio usiseme mishahara ni taabu kwelikweli
Wananchi wamemuacha rais wao asiwe wa kwanza ,akapitwa na Nana.Wananchi zaidi ya 84% wanaipenda na kuielewa serikali yao, na wanatamani kupata vitu vinavyowajenga kama mipango ya serikali inavyoelekeza
Kwa hiyo ondoa shaka, hapawezi kuwa ugomvi wa taabu kwa serikali wala umma wa watanzania
itasaidia maana habari kama za IPTL au Escrow hakuna sikuhiziMedia zijikite kwenye habari za umbea
Mf-huyu kamfumania yule,esma kasema kile
Etc na habari waweke ukurasa wa mbele kama tv iwe habari ya kwanza
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
They spend 20 out of 24hrs katika udakuHuku kwenye umbea TV za Tz zitapiga pesa sana maana umbea kwa watz upo damuni.
Wamiliki wa tv wafanye utafiti na kuwaletea watanzania vitu ambavyo wanavihitaji kwa sasaSocial networks siku hizi ndio kila kitu.
Hilo ni kweli TV zimekosa ubunifu,wabuni vipindi vitakavyo wafanya watu watizame TV.Wamiliki wa tv wafanye utafiti na kuwaletea watanzania vitu ambavyo wanavihitaji kwa sasa
Social networks hazizuiliki lakini pia hazijakuwa threat kwao ila tatizo dunia amebadilika wao wamelala