duuh tutanyookaUchumi wa kati ndio unavyoanza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sure, round ya pili ataburuza watu sana kama kisasi cha kumshangilia Lissu.Nimeota ujue hata mkipiga kura ,wasimamizi wa uchaguzi hawatatangaza mpinzani kama ilivyokuwa serikali za mitaa na chaguzi zilizorudiwa.
Ndoto yangu niya ukweli kwa hiyo tujiandae kisaikologia miaka mingine 5 kuwa na huyu jamaa unless Mungu aingilie kati tu .
Na safari hii atafanya anachotaka ,hata viboko mtapigwa heeeee
Mkishadekezwa badaye mnaota mapembe kabisaNi muhimu kuhakikisha unakwenda na mwenza wako kiliniki mara ahisipo kuwa mjamzito, mhimize atimize mahudhurio yote 8 (ikiwezekana) pia mkumbushe mtoa huduma swala la kupima HIV/AIDS
Ka ilivyokuwa utamu na karaha wakati mkiwa faragha, hali kadhalika ni muhimu kumuhudumia ktk nyanja zote, hata kumpikia kwa kipindi chote cha ujauzito na mara baada ya kujifungua
NB - I hate politics
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]lkn utakufwa tuNinachomshukuru Mungu sijafa.
Una jua wewe una matatizo sana πππππDaah nilisoma vibaya nikaona 'uchi wa kati' imebidi niangalie tena mara mbili mbili.